Wanawake wakifiwa namume wanaishi fresh tena maisha marefu ila akifa mke mume hatoboiSiyo kweli. Wengie sana huendelea na maisha kama kawaida iwapo hawakuwa na matatizo mengine ya kiafya. Ronald Reagan alifariki mwaka 2004 akiwa na miaka 93 lakini aliyekuwa mkewe kwa zaidi ya miaka 52, yaani Nancy Reagan aliendelea na maisha kwa miaka mingine 16 hadi alipofikia umri wa miaka 95.
Senator John Edwards alifiwa na mkewe mwaka 2010 na mpaka leo bado anadunda na wala hajaoa tena. Kuna factors nyingine kjabisa ambazo zinatokana na wanaume kuwa na life span fupi kulinganisha na wanawake, na vile vile kuwa couples nyingi zina wanaume ambao ni wakubwa kiumri kuliko wake zao, hivyo wakati mwanamke anafariki, unaweza kukuta hata mwanamme naye alikuwa amefikia ukomo wake pia kiasi kuwa angefariki wakati wowote hata kama mkewe asingefariki. Siyo kwamba kifo cha mwanamme kinasababishwa na kufiwa mkewe.Wanawake wakifiwa namume wanaishi fresh tena maisha marefu ila akifa mke mume hatoboi
Kwa sababu wewe ndiye Israel Mtoa roho, na Mungu kakupa kalenda ya kumfuata ndani ya miaka hiyo miwili.
Pathetic!.
Katika jambo ambalo hupaswi kumkadiria mtu ni kifo, kwa sababu ajuaye ni Mungu.
Hata sisi Madaktari, tuna njia nyingi za kufahamu kipindi ambacho mgonjwa mwenye ugonjwa Cronic (haswa saratani) anaweza kuvuta. Lakini huwa ni makadirio tu.
Tar zinafika na mgonjwa hafi. Ni kwa sababu muumba wake ndiye anajua.
Ferguson si mgonjwa. Yupo fit. Kila wa leo anahudhuria mechi nyingi za Manchester United, ni ajabu mtu kumtabiria kuwa atakufa ndani ya miaka miwili.
Yasijekuwa kama yale ya Eddo na wapiga pushup. Ukatangulia wewe kabla ya Sir Fergie.
Muombee kheri mzee wa watu.
Rest Easy Bibi.
Ina maana Ferguson alioa mshangazi?Habari za huzuni jioni hii, kutoka katika kitongoji cha Cheshire, Greater Manchester ni kuwa Lady Cathy Ferguson, mke wa Sir Alex Ferguson amefariki dunia.
Wawili hao walioana mwaka 1966 na wamedumu kwenye ndoa mpaka mauti yalipomfika bibie Lady Cathy akiwa na miaka 85.
Ameacha watoto watatu na wajukuu 12.View attachment 2773829
Eti Apepe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Apepe ( Alazwe pema peponi)
Mungu sio mwanadamu..dunia hii unaweza ukafa wewe na bado unayemwona anakufa kesho akatoboa miaka Mingi...kuna watu walisema mtu mmoja atafia ikulu lakini aliyefia ikulu ni mwingine kabisaFerguson hayoboi miaka miwili,kufiwa mke uzeeni
Exactly watu wanaleta hoja za kipuuzi sana mimi mama yangu alifariki 2009 na mzee akaoa tena 2017 yupo mpaka leoSenator John Edwards alifiwa na mkewe mwaka 2010 na mpaka leo bado anadunda na wala hajaoa tena. Kuna factors nyingine kjabisa ambazo zinatokana na wanaume kuwa na life span fupi kulinganisha na wanawake, na vile vile kuwa couples nyingi zina wanaume ambao ni wakubwa kiumri kuliko wake zao, hivyo wakati mwanamke anafariki, unaweza kukuta hata mwanamme naye alikuwa amefikia ukomo wake pia kiasi kuwa angefariki wakati wowote hata kama mkewe asingefariki. Siyo kwamba kifo cha mwanamme kinasababishwa na kufiwa mkewe.
Hiyo hoja ni ya kipuuzi kabisa ,kwenye ndoa mara nyingi wanaume hua wakubwa kiumri kuliko wakè zao so usiangalie nani kaanza kufa angalia nani kaishi maisha marefu ,wapo waliofiwa na wake zao kisha wakaoa tena na wanadunda pia wapo wamama walifiwa na waume zao na pia wakafariki ndani ya muda mfupiWanawake wakifiwa namume wanaishi fresh tena maisha marefu ila akifa mke mume hatoboi
Edit basi, hayaboi ndio nini?Ferguson hayoboi miaka miwili,kufiwa mke uzeeni
Nadhani hajawa na maana mbaya kaongelea experience ya kawaida kabisa ya maisha wanaume wengi mke akifariki huwa hatu survive mda mrefu (wengi sio wote)Ukatubu hivi aisee. Mwenye destiny yetu ni Mungu tu. Recall uchaguzi wa 2015.