Lady jay D kwenye Friday night live sijaelewa muonekano wake

Team mafisi

Senior Member
Joined
Nov 14, 2016
Posts
138
Reaction score
144
Kwa waliongalia mbona kama komandoo kapauka hivi. Yani kumbe makamera na mapoda yanawalinda hawa wasanii, pale ameonekana mweusi balaa, chunusi kwa mbali!!

Alafu wakaweka video ya ndindi-ndiiii ukiangalia video alivyo soft na rangi flani ya kung'aa???alafu walivyorudisha studio ??utadhan aliye ktk video na wa studio ni mtu na mama yake.

Anyway age nayo umeenda, haki yake kukomaa.
 
Nadhani mashine anayoikalia sasa ndio sababu, pengine yule wa mawingu kazi alikuwa haimudu.
 
Mbwa wewe, mama ako ndo mzee, mwenzio anazeeka na range Rover, wewe mama ako anazeeka anauza vitumbua. Fyuu
Ado ado Bob, punguza hasira, Katoa kilicho nafsini mwake- hata hivyo Kumtusi mtu ni sawa na Ujinga. sasa Kumuita mwenzio mbwa kunatokana na Jide kuzeeka jaman??

Hivi kama yeye ni mbwa wewe utakua nan?? maana nachojua Binadamu wote ni sawa. Huku ni JF na sio kwenye Blog za Ngono na matusi. Angalia Vizuri maana Hatutochelewa Kusema "Limtokalo mpumbavu katika kinywa cheke ndilo liujazalo moyo wake".

One Love.
 
Kwa mimi nilivyomuona naona amenenepa ila kuhusu rangi kweli kapauka dizain flan.
 
Ndoa mpya jamaa atakuwa anajituma kupita kiasi, tuwape muda tu atarudi normal....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…