Team mafisi
Senior Member
- Nov 14, 2016
- 138
- 144
Kwa waliongalia mbona kama komandoo kapauka hivi. Yani kumbe makamera na mapoda yanawalinda hawa wasanii, pale ameonekana mweusi balaa, chunusi kwa mbali!!
Alafu wakaweka video ya ndindi-ndiiii ukiangalia video alivyo soft na rangi flani ya kung'aa???alafu walivyorudisha studio ??utadhan aliye ktk video na wa studio ni mtu na mama yake.
Anyway age nayo umeenda, haki yake kukomaa.
Alafu wakaweka video ya ndindi-ndiiii ukiangalia video alivyo soft na rangi flani ya kung'aa???alafu walivyorudisha studio ??utadhan aliye ktk video na wa studio ni mtu na mama yake.
Anyway age nayo umeenda, haki yake kukomaa.