Cant wait for this show....................
naomba niku book mapema kabisa aisee..
Yaani nilivoanza kusoma ujumbe nikajua copy n paste maana hiyo ni tweet ya EATV muda mchache uliopita bora umeweka source
Back to topic.....hiyo siku kutakuwa hakukaliki ni bonge la shooo
Yaani nilivoanza kusoma ujumbe nikajua copy n paste maana hiyo ni tweet ya EATV muda mchache uliopita bora umeweka source
Back to topic.....hiyo siku kutakuwa hakukaliki ni bonge la shooo
itakuwa bomba sana.psquare ni nomaaaa
psquare ndio wa wapi?
usitake kujidogosha.mtu mzima na ndevu
kwani wasio na ndevu ndio wanawajua psquare??sijakuelewa..
unafikiri kila mtu anajua wanamuziki.......i was lazy....nishagoogle nimewajua.......
MTAZAMO pale ni mwendo wa band tuu yaani live music.Kwanza EATV wajitahidi kusiwe na msururu wa wasanii, Wasanii wachache sana na wakali ili kila mtu apate muda wa kutosha! Msururu wa wasanii kama Fiesta unaboa ile mbaya.
Angalizo maalum kwa Lady JD ajiandae vizuri na abadilike jinsi ya kucheza na watu maana watu wamekuwa wakifurahia nyimbo zake na si jinsi anavyotawala jukwaa.Kuna muda JD anakuwa kama hajui afanye nini jukwaani kwakweli kiroho safi ajipange vizuri matukio yake na atawale haswa jukwaa na ikibidi awe na mdada mwenye pumzi za kutosha kumpa back up.
Profesa Jay jitahidi kusimama na DJ mwenye uwezo mkubwa wa kuscratch,kumix nyimbo kwa haraka live(sio recorded mix) na kukupa back up si kupiga makelele kama yule dogo DJ Mafuvu anavyotuumizaga masikio.
unafikiri kila mtu anajua wanamuziki.......i was lazy....nishagoogle nimewajua.......