Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,220
- 1,183
Redio ya wafu lazima wajinyonge mwaka huu,wabaya wao wanaendelea kushine
Hahahahahaha Wafu Fm kazi wanayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Redio ya wafu lazima wajinyonge mwaka huu,wabaya wao wanaendelea kushine
Mkuu hiphop ni DJ na nguzo nyingine hivyo bendi ni nakshi tu lakini DJ ni muhimu na kwenye hiphop live ni pale msanii anapotumia beat bila sauti! Hiphop bila DJ anayeweza kusratch na ku add lip hainogi!!MTAZAMO pale ni mwendo wa band tuu yaani live music.