Ww madeni yake yanakuhusu nn..... Au unataka kumlipia??? Mwanaume kama ww ukiwa huna deni ni uboya wala sio ujanja na possibility ya kufa maskini n 99% Think like a man.....huyo alisha funga ndoa ila sasa anakojozwa tu. ivi alisha lpa mkopo wa benki au aliuziwa dhamana zake?
Achelewi mwenyewe anapenda heshima.teh teh teh
Dada yetu huwa ana nyota nzuri sana ya kuangukia kwa wakojozaji
Honeymoon wanaendaga na mashela ?mbn picha hazisadifu tukio la ndoa..
Ameshachuja...hakuna kiki tena ya kumuweka juu labda ajaribu picha za uchi
AsanteeeeWw madeni yake yanakuhusu nn..... Au unataka kumlipia??? Mwanaume kama ww ukiwa huna deni ni uboya wala sio ujanja na possibility ya kufa maskini n 99% Think like a man.....
Kabisa atiimbn picha hazisadifu tukio la ndoa..
Hadi wewe mkuu?Kwahiyo mlitaka aendelee kuzini ili mmuite malaya?Ameshachuja...hakuna kiki tena ya kumuweka juu labda ajaribu picha za uchi
msikitini?Heri yake
Wabongo bwana, wanawake wakionyesha heshima na kujiheshimu mnawaponda wakijianika kama Wema mnaponda, sasa tukimbilie wapi? Kama JD kachuja wewe uliyepata vipondo vya maisha tukuiteje!? Umevuja ama?Ameshachuja...hakuna kiki tena ya kumuweka juu labda ajaribu picha za uchi
kaulize kanisani....padre anajuambn picha hazisadifu tukio la ndoa..
Mbona me sioni kama ni ndoa hiyoUkweli jaydee ananikosha sana,hongera sana kwa kufunga harusi mamiii,mwenyezi mungu akujaliw maisha marefu na yenye furaha.Cha msingi tambua tuu kuwa hakuna mtu aliye mkamilifu,hivyo utasamehewa nawe ukisamehe,utape dwa ukipenda,binafsi nakuheshimu kwa vile pia unajiheshimu,
Humu ndani kiboko watu hamsahauuuHuyu naye asije kuwa mkojozaji kama aliyepita.
Fumbua machoMbona me sioni kama ni ndoa hiyo