Lady Jay Dee afunga ndoa tena?

Lady Jay Dee afunga ndoa tena?

Ww madeni yake yanakuhusu nn..... Au unataka kumlipia??? Mwanaume kama ww ukiwa huna deni ni uboya wala sio ujanja na possibility ya kufa maskini n 99% Think like a man.....
Asanteeee
Yani wanaume sijui wamekuwaje jamani!
Wamefanya kuponda kila kitu ndio fashion ya JF.
 
Ukweli jaydee ananikosha sana,hongera sana kwa kufunga harusi mamiii,mwenyezi mungu akujaliw maisha marefu na yenye furaha.Cha msingi tambua tuu kuwa hakuna mtu aliye mkamilifu,hivyo utasamehewa nawe ukisamehe,utape dwa ukipenda,binafsi nakuheshimu kwa vile pia unajiheshimu,
 
Ukweli jaydee ananikosha sana,hongera sana kwa kufunga harusi mamiii,mwenyezi mungu akujaliw maisha marefu na yenye furaha.Cha msingi tambua tuu kuwa hakuna mtu aliye mkamilifu,hivyo utasamehewa nawe ukisamehe,utape dwa ukipenda,binafsi nakuheshimu kwa vile pia unajiheshimu,
Mbona me sioni kama ni ndoa hiyo
 
dah... kweli kila mtu ataoana na wa kufanana nae

kwikwikwikwi
 
Huyo mwanaume mpya akifanikiwa kumzalisha itakuwa aibu kubwa kwa Gadner... Itathibitisha kweli kuwa mchizi alikuwa anatoa upepo!
 
Back
Top Bottom