Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Nani amuue tatizo akili zake ni finyu na hajijui kama yeye ni Msanii ambaye ni Kioo cha Jamii maneno machafu yatamcost sana... Anamuiga Yule Mcheza Basket ball wa Tanzania Hasheem Thabeet alikuwa na maneno machafu na sijui kama kuna ambaye atakuja kumfikia.... Yaani akidai yeye kuwa Juu ni yeye mwenyewe na hakuna msaada wa Mtu mwishowe watu wakamchoka haswa wale waliomsaidia na sasa ukimzungumzia ni sawa na vichekesho.. ila Maisha yanaenda... Judith anachotakiwa kukitunza ni Heshima maana huwa haiuzwi hivyo atainunua akiipoteza ndio imeenda hiyo.... si sawa na Pesa akipoteza atapata nyingine la hasha....
maneno ya walimwengu yanakera sana tena sana, lakini based on her status anapaswa kujifunza kuzuia jazba jamani, kwa mtu mwenye jina kubwa kama yeye kuongea maneno ya shombo vile sio, na akili zetu twazijua tena ndio kwanza watu watazidi kumkera si watu wameshajua location ya adrenaline yake, wataendelea kuipiga starter kila mara itamwagika tuu, mwishowe ajipatie cancer ya ini bureee, atulie.