patrickcharles
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 534
- 285
Hakuna tatizo hapo maana alisema Chawa na sio watu. So wafanyakazi/Clouds family haliwahusi.nakumbuka alisema akifariki hataki chawa yoyote kutoka clouds ahudhurie mazishi yake.... angefuta na hiyo kauli