Lady Jay dee baada ya kupokea tuzo, asema narudi kimya kimya

Lady Jay dee baada ya kupokea tuzo, asema narudi kimya kimya

hilo dongo Jide kalirusha makusudi... tunaomwelewa tumemwelewa. ingawa siwezi kuita chuki au wivu.

Jaydee alikuwa anampiga dongo Diamond hata mi nilimwelewa, angentangaze yeye kama angepokelewa maana Jide analetea mapozi hadi mashabiki , nilimuona wa ajabu alipotwaa tuzo ya KIL hakafu unauliza kama zimeshafanyika.
 
Jaydee alikuwa anampiga dongo Diamond hata mi nilimwelewa, angentangaze yeye kama angepokelewa maana Jide analetea mapozi hadi mashabiki , nilimuona wa ajabu alipotwaa tuzo ya KIL hakafu unauliza kama zimeshafanyika.

halafu kama kimya kimya kilichomfanya a post fb ni nini......,
nampendaga bidada huyu ila kwahili atupishe kule,
 
Naye kama anakuja kimya kimya aje kimya kimya Hovyoooo mbona wakati anapiga Mayowe kaonewa na Clouds ..tulijaa kwenda Kumsapoti Mpaka tukakosa pa kukaaa:mvutaji:! kasahau kama huruma yetu ya mayowe yake yalitufanya tujazane kuwazodoa clouds eheeee .:shetani:..akwendreeeeeeeee kule ! Diamond njoo na Matangazo tatizo liko wapi ...tena ukishuka tu tuchezee Kitondoro ......WanaWivu hao hao haooooo! Wachonganishi hao hao haoooooooo! Ohoo Mwendawazimu kaingiaje ?

Na kama anakuja kimyakimya si hasingesema si angekaa kimya tushtukie yupo nyumbani Lounge huyu dada ana wivu anataka awe ye juu siku zote hajui mziki kuna kupanda na kushuka wako wapi akina Maria C, Brandy ,C.Dion etc Marekani alienda kwa mgongo wa kualikwa kwenye harusi ndio akaunganishia na tuzo.
 
halafu kama kimya kimya kilichomfanya a post fb ni nini......,
nampendaga bidada huyu ila kwahili atupishe kule,

Mi mwenyewe ni shabiki wake, lakini anaboa ni mtu mwenye wivu na anajisikia sana, halafu hana furaha sijui kwanini.
 
Na kama anakuja kimyakimya si hasingesema si angekaa kimya tushtukie yupo nyumbani Lounge huyu dada ana wivu anataka awe ye juu siku zote hajui mziki kuna kupanda na kushuka wako wapi akina Maria C, Brandy ,C.Dion etc Marekani alienda kwa mgongo wa kualikwa kwenye harusi ndio akaunganishia na tuzo.

alienda kwenye harusi ya nani??????
 
Naye kama anakuja kimya kimya aje kimya kimya Hovyoooo mbona wakati anapiga Mayowe kaonewa na Clouds ..tulijaa kwenda Kumsapoti Mpaka tukakosa pa kukaaa:mvutaji:! kasahau kama huruma yetu ya mayowe yake yalitufanya tujazane kuwazodoa clouds eheeee .:shetani:..akwendreeeeeeeee kule ! Diamond njoo na Matangazo tatizo liko wapi ...tena ukishuka tu tuchezee Kitondoro ......WanaWivu hao hao haooooo! Wachonganishi hao hao haoooooooo! Ohoo Mwendawazimu kaingiaje ?

acha kumchukia Jd kwani alikutuma ujazane kwenye show yake halafu kama hiyo tuzo na yeye anayo kwani cha ajabu kipo wapi.....naona team zenu za instagram mnataka kuzileta Jamii Forum:angry:
 
habari zilinifikia ni kwamba kuna party kubwa inaendelea uwanja wa amahoro pale rwanda kushangilia tuzo ya msanii tajiri kabisa afrika mashariki yaani dangote platinum na kuna watu 40,000 wamejazana huku wakicheza nyimbo za msanii huyo anayemiliki majumba kadhaa na magari ya kifahari hapa jijini

Hii story itapendeza sana wakihadithiwa watoto wa nursery
 
acha kumchukia Jd kwani alikutuma ujazane kwenye show yake halafu kama hiyo tuzo na yeye anayo kwani cha ajabu kipo wapi.....naona team zenu za instagram mnataka kuzileta Jamii Forum:angry:

We koma we ...sina team yeyote naongelea ninaloona sahihi ...kama nimekuboa piga kimya kimya usiniletee za kuleta hata hiyo instagram siijui .....:sorry:
 
Royal wedding Frank.

Harusi ilivyotangazwa ile kwa Le mutuz nikaisubiri kwa hamuuuu lol ! picha zilionyesha ilikuwa ya kawaida watu walivaa Hovyoo ...Daaaa! kweli usipanie sana shughuli
 
Harusi ilivyotangazwa ile kwa Le mutuz nikaisubiri kwa hamuuuu lol ! picha zilionyesha ilikuwa ya kawaida watu walivaa Hovyoo ...Daaaa! kweli usipanie sana shughuli

Hembu tuone picha za wedding yako,,kwa kauli hii tu nimekuona ni mtu mwenye chuki na si kuongelea uhalisia!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Alialikwa harusi Marekani ya Frank na Anita ndio akaenda. Jide anaogopa kushindwa hasingetoka hapa mpk USA kufuata tuzo tu .

Hizi ni chuki sasa za wazi kwahiyo kote alikokuwa anaenda kushiriki utangazaji wa washindi wa tuzo walikuwa wanamhakikishia ushindi siyo?
 
Hembu tuone picha za wedding yako,,kwa kauli hii tu nimekuona ni mtu mwenye chuki na si kuongelea uhalisia!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app


I am not a celebrity.....tutakuwa tumetumia vibaya JF nikirusha zangu who am I ? poleee kama nimekukwaza!
 
Back
Top Bottom