So it took nigerians kutambua kipaji na jitihada za huyu dada anayefanya mziki nyumbani sio tu Tz but whole of east africa?Tangu nakua mpaka sasa hivi Jd hakuwai shuka..ni kati ya wasanii wachache ambao wamemantain..anakaa kimya akitoka na kitu kinakuwa Hit!
She doesn't need scandals or beef or lies to be on top just her beautiful vocals...haya hapa simsemi mtu nazungumzia tu kwamba kama unajua unajua tu..no matter the majungu watu wanaojua mziki wataona tu..haya from mambo ya pesa to Historia Jd u still making hits after hits..its 2014 and am still listening to Ur songs wow and not just ur classics ur current.Leo I salute u!
She doesn't need scandals or beef or lies to be on top just her beautiful vocals...haya hapa simsemi mtu nazungumzia tu kwamba kama unajua unajua tu..no matter the majungu watu wanaojua mziki wataona tu..haya from mambo ya pesa to Historia Jd u still making hits after hits..its 2014 and am still listening to Ur songs wow and not just ur classics ur current.Leo I salute u!