Lady Jaydee adai talaka kwa mumewe Gardner Habash

Lady Jaydee adai talaka kwa mumewe Gardner Habash

Neiwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
728
Reaction score
633
Tokana na chanzo hiki cha The Citizen, Gardner amekiri mkewe huyo kuomba talaka kwake endapo ataendelea kushikilia msimamo wa kuhamia Kenya kikazi alikopata ofa yakuweza kumlipa kipato cha Millioni sita (6) kwa mwezi. Ikumbukwe kuwa Gardner ni meneja wa miradi yote ya mwanadada huyo na ile ambayo ni yao wote.

Chanzo hiki kinaeleza kuwa Gardner kaamua kukataa ofa hiyo ili kuokoa ndoa yake iliyodumu zaidi ya miaka 9 sasa.

jide.jpg


Dar es Salaam. Word has it that Lady Jay Dee is seeking a divorce from her husband and manager, Gadner G Habash.



According to recent reports that have since been circulating and confirmed by Gadner himself, the talented musician and owner of the famous Nyumbani Lounge threatened for a divorce after learning that her husband had secured a deal of becoming a radio presenter in Kenya, a deal that will see him cash in Sh 6million a month. Those close to the couple claim that Jay Dee can’t just stand seeing her husband cross over to Kenya, when he is her manager.



“You need to know that all Jay Dee’s projects are being overseen by Gadner, she knows very well that if she lets him go, they will all collapse and that is why she threatened for a divorce,” claimed the source.



Gadner has since reversed his decision following the threats of putting their nine year marriage to an end. (The Beat)


 
Tatizo gadna kachoka anataka nae kumiliki vyake
 
Kaka G. Habash huo mtihani huko mshiko na huku Mke???
 
Aaaah hela muhimu,mke naye muhimu pia,sasa chagua moja
 
Huo umeneja utakufikisha wapi tafuta chako uheshimiwe, sasa hivi kila kitu chako watu wanajua umewezeshwa na JD.

Hata kama ndoa ni majaliwa miaka karibu na kenda bilabila.!!!!!!!!!!!!
 
Asipokwenda huko atakuwa ---- sana,mwanamke huyu hamtakii mema gadna,kwanza alivunja ndoa yake ya kwanza,sasa hivi tena anataka kumvuruga kiuchumi,utakuwaje manager wa miradi ya mkeo? si atafute pesa zake kivyake? huyu jamaa naye ni kilaza sana,ndo wale wale kina mario!
 
Back
Top Bottom