Neiwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 728
- 633
Tokana na chanzo hiki cha The Citizen, Gardner amekiri mkewe huyo kuomba talaka kwake endapo ataendelea kushikilia msimamo wa kuhamia Kenya kikazi alikopata ofa yakuweza kumlipa kipato cha Millioni sita (6) kwa mwezi. Ikumbukwe kuwa Gardner ni meneja wa miradi yote ya mwanadada huyo na ile ambayo ni yao wote.
Chanzo hiki kinaeleza kuwa Gardner kaamua kukataa ofa hiyo ili kuokoa ndoa yake iliyodumu zaidi ya miaka 9 sasa.
Chanzo hiki kinaeleza kuwa Gardner kaamua kukataa ofa hiyo ili kuokoa ndoa yake iliyodumu zaidi ya miaka 9 sasa.
Dar es Salaam. Word has it that Lady Jay Dee is seeking a divorce from her husband and manager, Gadner G Habash.
According to recent reports that have since been circulating and confirmed by Gadner himself, the talented musician and owner of the famous Nyumbani Lounge threatened for a divorce after learning that her husband had secured a deal of becoming a radio presenter in Kenya, a deal that will see him cash in Sh 6million a month. Those close to the couple claim that Jay Dee cant just stand seeing her husband cross over to Kenya, when he is her manager.
You need to know that all Jay Dees projects are being overseen by Gadner, she knows very well that if she lets him go, they will all collapse and that is why she threatened for a divorce, claimed the source.
Gadner has since reversed his decision following the threats of putting their nine year marriage to an end. (The Beat)