Lady Jaydee ajichagulia jeneza la pili

People Need to Get a Life....

Wewe kama ni shabiki kuwa shabiki wa kazi anazotoa sio Shabiki wa Maisha yake..., Tena mimi ninamsifu na wengi wangefanya hivi unanunua kabisa jeneza lako siku ukiondoka usituachie gharama za kuanza kuchangishana (usawa wenyewe huu uchumi wa kati) na Hatujui siku ukiondoka huenda Uchumi ukawa ushakuwa wa Juu....
 
Ana mawazo kimo cha mbilikimo
 
Yuko sahihi, lazima ujichagulie usafiri wako, sio mpaka uchaguliwe, tusisahau kifo ni jambo la lalazima(must).
Bangi kwasana hazitofautishi maisha na kifo. Tumhurumie huyu binti. Kazi ya muziki ni ngumu sana. Unatumia nguvu nyingi kuwafanya watu wafurahi,hadi mwili unakuambia mzee nimechoka .hapo ndipo matumizi ya sawa za maumivu, bangi heroin ,cocaine no inakuwa sehemu ya maisha. No wonder wengi hugs kwa overdose ya hago madawa. ( Elvis Presley,Michael Jackson , jim hendrix, whitney houston. N.k) wote ni wahanga wa ustaa wa music. Kuwasaidia vijana serikali zingeweka sheria za kupimwa mkojo kila baadae ya muda fulani ili kuokoa maisha ya vijana wa tasnia ya music. Maana husezi kuhimili stress za music bila kutumia illicit drugs, never on earth.
 
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ameshaweka wazi mazishi yake yatakuwa ni kwa mwaliko maalum...yaani huendi tu kindezi.. Ila hajazungumzia swala la bajeti
Kalogwa au kajiloga
Atambue Ulimi Unaumba
Atakipata anachokiomba lakini itakuwa mapema sana kuliko anavyotarajia
Mungu ana wakati wake na Shetani ana wakati wake
Kwa mtindo huu shetani ana nafasi kubwa ya kufanya yake
Kama ni kutafuta umaarufu basi unakuja lakini utakuwa wa muda mfupi halafu utasahaulika milele

Naomba Mungu anipe busara na maisha marefu kuishi hapa duniani
 
Being dead is being dead.

Does the casket make a difference?
 
Kuna yule mzee yeye kajijengea hadi kaburi lake freeeesh kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oooh muziki stress kipi hakina stress? Mara oooh kutokuwa na mume na watoto kumempa stress, wenye watoto na waume/wake wangapi wamekufa kwa stress hizo hizo na wengine kujiua? Mnapoandikaga urithi mbona huwa hamsemi mnajichulia kufa?

Kufa kila mtu atakufa tu, uogope kifo au usikiogope ila mwisho wa siku wote safari yetu ni moja. Hapo hana tofauti na wanaosema nikifa mnizike chato, yeye kachagua jeneza swaaafi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo hana tofauti na wanaosema nikifa mnizike chato, yeye kachagua jeneza swaaafi kabisa.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kidongo cha zege hiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…