Lady Jaydee ajichagulia jeneza la pili

Hapa ndipo wafia dini wanaponiacha hoi, wanakwambia tenda mema uende peponi, blah blah lakini kwenye kifo wanaogopa, sasa kama mnaipenda pepo kwanini muogope kifo?

We all gonna die.
 
Hapa ndipo wafia dini wanaponiacha hoi, wanakwambia tenda mema uende peponi, blah blah lakini kwenye kifo wanaogopa, sasa kama mnaipenda pepo kwanini muogope kifo?

We all gonna die.
Nadhani watu hawaogopi kifo bali maumivu ya kufa
 
Nadhani watu hawaogopi kifo bali maumivu ya kufa
Wanayajuaje maumivu wakati hawajawahi kufa?

Yote kwa yote ni njia lazima tuipite hata iwe vipi, kwa hiyo Jaydee kuchagua jeneza lake sioni tatizo, kuna wengine hukata sanda zao wanaishi nazo kwenye makabati/sanduku,
Kuna wengine huandika urithi,
Kuna wengine huchagua hadi nyimbo za kusindikizwa nazo wakifa,

Kujiandaa ni jambo muhimu sana sababu ile ndio safari yako ya mwisho na yenye ulazima.
 
Huyu si aliwahi kusema kuna siku alinusurika kujiua kwa msongo!? Nahisi hali imejirudia
 
Kwenye dini tunasoma habari za 'hari za Kifo' (mateso yenye maumivu makali)labda wamejulia huko
 
We nae... khaaa




Nikifa mazishi yangu nataka yawe ya mwaliko maalum – Lady Jaydee
Bongo5 EditorMarch 26, 2015 - 2:05 pm
Lady Jaydee haogopi kufa na infact anataka mazishi yake yawe na mwaliko kama vile harusi zilivyo.

page

Katika muendelezo wa post zake ‘controversial’ Lady Jaydee ameweka picha za majeneza mawili ya kifahari ambayo anapenda akifa azikwe.

11084796_1613949208837446_1981732043_n

Hata hivyo ana masharti – mazishi yatakuwa ya mialiko maalum na hatopenda mwili wake ufunuliwe.




“I’ve changed my mind Sitaki tena lile la purple Moja kati ya hayo hapo juu #MsiMind #KilaMtuAtakufa #Msiogope Nilikuwa nafikiria pia iwe invitees only #SitakiKufunuliwa,” ameandika
 
watu maarufu wanapitia mengi sana, huenda ashaambiwa hatoboa mwezi mwaka/mwezi fulani
 
Inatakiwa apatikane mtu wa kumliwaza JIDE ,inaonekana ana msongo wa mawazo sana,yule mnaijeria mwenye rasta alikuwa poa sasa sijui kitu gani kiliwagombanisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…