Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
prof J anaongea kwa vitendo katika kusupport lady jaydee!yeye hana maneno mengi wala vijembe katika mitandao ya kijamii!.....hii naita support ya kiutu uzima!big up prof jizze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na alivyochakaa ananitia shaka!!
na alivyochakaa ananitia shaka!!
Na Prof J ni Mlinzi wake ama???
na alivyochakaa ananitia shaka!!
Prof J mbona kaisha hivo....
prof J anaongea kwa vitendo katika kusupport lady jaydee!yeye hana maneno mengi wala vijembe katika mitandao ya kijamii!.....hii naita support ya kiutu uzima!big up prof jizze
huyo aliyesema J mlinzi ni mtoto wa h.a.r.a.a.a.m
na alivyochakaa ananitia shaka!!
na alivyochakaa ananitia shaka!!
Nikiwa kama Mshauri Mwandamizi wa Clouds Media Group kuanzia tangu ilipoanzishwa, wakati huo Joe Kussaga akiwa anachezesha disco lake pale Motel Agip, underground, na kuhamia kwingineko, kama TAZARA Hostel, nilishuhudia mengi mno. Hata siku Joe alipoondoka kwenda Marekani kuchukua vyombo vya Clouds FM, vikiwemo FM transmitter, booster na ecxiter, tulikuwa wote.
Nilimchukulia Joe kama rafiki yangu mpendwa. Hilo halijabadilika. Naijua vema familia yake. Mengi mabaya nimeyasikia juu ya Joe. Nimeyapuuzia. Joe na mke wake Juhayna ni watu wazuri wenye moyo wa upendo. Lakini kuna tatizo.
Familia hii imezungukwa na kila aina ya uadui kiasi cha kwamba inakuwa vigumu kujua nani rafiki na nani adui. Joe ana kasoro moja kubwa: He trusts the wrong people, watu ambao wamemgeuza mradi wa kujitajirisha wao kupitia mgongo wake. Lazima ieleweke kwamba Management Style ya CMG daima imekuwa ya family business, ambapo licha ya Joe kujaribu kuweka mazingira ya kitaaluma zaidi, imekuwa kana kwamba jitihada zake daima kugonga mwamba. Joe anao uwezo wa kuiuza CMG na kuhamia Zanzibar ambako amejiimarisha kibiashara, na wala hangepata hasara yoyote ile. Joe amezungukwa na kilq aina ya wazandiki na mandumilakuwili, ambao daima huuza siri zake kwa mahasimu zake wa kibiashara. Wakati anaposhtuka kuchezewa mchezo mbaya, a lot of damage has always been done.
Nilisoma maneno ya dada yangu Jaydee. Mimi daima namwita Judith, kwa Kiswahili, Yudithi. Hebu someni Biblia mjikumbushe kidogo Yudithi alikuwa mtu wa namna gani. Mnamwona Judith Wambura Mbibo ----- sana au ni kwa kuwa hana pesa? Dada yangu yule kajipanga, msimdharau. Mmesahau alikikata kichwa cha nani? Kasomeni wenyewe Biblia mpate kuelewa somo.
Joseph, au Yosefu, Mlinzi wa Kanisa Katoliki, mbona umekubali kujidhalilisha kwa kesi hii? Au huwatambui hao washauri wako kuwa mawakala wa Lucifer, ambao nia yao ni moja tu: Kuibomoa himaya yako na kuivunjilia mbali?
Yosefu, hebu fikiria for just one moment here. Suppose... Suppose... Suppose that no matter how much power or money you have, and you use it to your advantage and win the case, do you think that will be the start or the end of YOUR DEMISE?
Ndugu yangu, I beg you, please withdraw from this case. Wanaokushauri, wote, isipokuwa mkeo Inna anayekupenda kwa dhati, wote ni mawakala wa shetani. Ndio, wako baadhi ya ndugu zako ambao nawafahamu kama watu wacha Mungu, lakini wako wengine ambao ukiwanao mnacheka, mnakula, mnakunywa na kufurahi pamoja. Lakini hao ndio ukiwageuzia kisogo tu, wanaanza kukusema na kukusengenya na kukuzushia kila aina ya uzushi na uzandiki. Wahenga walisema: Kikulacho ki nguoni mwako. Kwani Yesu alisalitiwa na nani kama sio Yuda Iskarioti ambaye alifanya hivyo licha ya kwamba Yesu alimwambia mbele ya hadhira kwamba "Utanisaliti..."
Ndugu yangu, kama unadhani rushwa ilianzia juzi, unajidanganya.
Tazama. Nawaona. Hao. Wanakudanganya. Tutamhonga Hakimu pesa nyingi atautupilia mbali utetezi wa Jaydee.
Tazama. Namwona Hakimu. Mama. Ana familia. Ni mcha Mungu. Anaangalia upande wa kuume. Anawaona Malaika Walinzi wake. Wanaimba daima sifa za Mungu na kumkumbusha wajibu wake wa kutenda haki. Tazama. Ni usiku wa manane. Anaangalia makabrasha ya kesi yaliyo mbele yake. Anausoma kwa makini waraka usio na saini kutoka kwa washauri wako Joe. Unatoa ahadi lukuki za jinsi atakavyofaidika akiwa upande wako.
Tazama. Judith Wambura Mbibo. Yuko nyumbani na mume wake. Wamepiga magoti wakimwomba Yesu awasimamie katika kesi hii. Anamwambia Yesu kwamba ulikuwa ni wajibu wake kusema ukweli na wala si kukukashifu wewe. Anamwambia Yesu: Tazama mtu huyu. Nilijaribu kumfungua macho lakini yeye hakuzisoma hasira zangu kama hadhari kwake ili aanze kubadilika. Tazama jinsi shetani anavyomtesa. Hakika kwa dhambi hii ataangamia.
Kunakucha.
Sijui hakimu amechukua uamuzi gani. Sijui Yesu amechukua uamuzi gani. Lakini kwa vyovyote vile, ndugu yangu Joe, haki itatendeka.
Wanasheria wako wanaweza kupresent a very solid case in court, kiasi kwamba wanasheria wa Judith wakadhindwa, lakini that will be a VERY SMALL VICTORY compared to what you will lose in ALL your business empire that you have worked so hard to build, almost single-handedly?
Are you really prepared to go down this way? Do you know that you have declared war and that ALL the nation's tabloids will be actively digging into your private life? They will print truths and lies. Half truths and half lies. They will make you the source of their daily bread, now that you have opened Pandora's box.
We, who love you, but can do nothing to save you, because you cast us far and away, because you listened to wazandiki, ambao walituona sisi kuwa tishio kwao kwa kuwa tungewafichua undani wao. Tutasikitika na hatutakuwa na uwezo wa kukusaidia.
Ndugu yangu Joe. Nakuambia. Achana na hii kesi. Kwa mara ya mwisho. Achana nayo. Tangu lini maneno matupu yakavunja mfupa? Kwani wangapi wamesemwa, tena vibaya zaidi yako, lakini wameishi tena kishujaa.
Fikiria tena. Muda bado unao. Hebu ongea na Yesu, Yosefu.
PFM