Menopozi huwa
inakuja vibaya sana. Hata kama anatetea chake inahuu kumuita mwenzake
jina hilo tena ukizingatia nafasi yake kwenye jamii ya wasanii wenzake
na tanzania? Jide ni moja kati ya wasanii wa kike wakongwe, ni lazima
atumie busara hata anapodai chake.
Siungi mkono kitendo cha Jide
kumbatiza mshkaji jina la kike thou mchizi nae ajitazame upya ,hizi
issue za kutengeneza vibifu vya kishamba na madem ni zakichoko aisee .
Kwa dhamira ya dhati
nampongeza @Jide kwa uvumilivu wake kwenye game sambamba na vimafanikio
kidogo alivyo jaaliwa na muumba wake.
Niwe mkweli @Jide hana mafanikio ya kukimsumbua kichwa cha
mwanaume rijali anaejua kuzisaka noti .
Kuna wakati hua nawaza _hivi akili za hao kina Ruge ni dhaifu
kiaje ,wanashindwaje kucheza na akili ya mwanamke ?
Wamekwama wapi ?
Nini kigumu walichoshindwa wao kuendelea kunufaika nae huku
wakimuacha anaendelea kutabasamu?
Sent from my tecno nyeusi praa using JamiiForums
Hicho chake anachodai ni kipi hasa? Kiko wapi? Na nani anacho?
ataeleza vp wkt jamaa wamempiga pin mahakaman asizungumze khs wao acha mahaba yko na wezi
Hicho ki Jay Dee kimechanganyikiwa!
Sasa kimeamua kugeuza bifu kuwa mtaji.
anachohitaj jide ni uhuru wa kufanya biashara zke bila kuletewa fitna na hao wapigaj wanaotka acwe giant ili wamnyonye vzur
anachohitaj jide ni uhuru wa kufanya biashara zke bila kuletewa fitna na hao wapigaj wanaotka acwe giant ili wamnyonye vzur
wengine mnapenda sana vya kupewa ndo maana wengi wenu mnaishia kuchezewa, mnamegwa mnaachwa na hata mkiolewa...
Vijijini asilimia 90 masikini starehe yao ni pombe na nyie...
Ndio maana hazai
huyu mwanamke ni mnafiki sana. kiukwel hapa hakuna bifu ila ni wafanya biashara!!
usije ukashangaa baada ya hii show wakajifanya wamekaa chini wamemaliza tofauti zao na washaingiza mkwanja
wengine mnapenda sana vya kupewa ndo maana wengi wenu mnaishia kuchezewa, mnamegwa mnaachwa na hata mkiolewa...
Vijijini asilimia 90 masikini starehe yao ni pombe na nyie...
HAPANA...
Anachokitaka Jide ishu ya yeye kufanya biashara ya muziki bila kuwa na upinzani.
Ule waraka aliokuja nao awali ulikuja kwa sababu tu Bendi ya Sky Light ilichukua wanamuziki toka Machozi Band.
Povu looote lile lilikuwa kwa sababu hiyo TU.
Atatafuta huruma za watu popote lakini ukweli huu hawezi kuupinga moyoni mwake.
Sarakasi aliyoiruka huku kavaa Taulo mbele ya FA inampwita kwa sababu tu FA ameamua kuzima nae na kubutua nae.
Hakuna dhambi yoyote aliyoifanya FA, wote ni wasanii na wanatakiwa watafute Maslahi.
So hizo ni miongoni mwa changamoto za kimuziki ambazo anatakiwa ajifunze kukimbizana nazo...
Sio anakaa analialia tu na kengeza lake lile...
Unachokisema huenda ni kweli ni moja wapo ya sababu lakini ni ukweli usiopingika kuwa clouds media inawanyonya wasanii na inataka kumonopolize soko la mziki la tanzania tena kwa njia zisizosahihi!Ingekuwa niJide peke yake ndiye aliyeanza kuwashushia lawama ningekubaliana na wewe kuwa kibibi kizee cha Turin(Juventus) kama wewe unavyomuita kuwa anamatatizo binafsi lakini vp kuhusu Sugu na VINEGA,NGWAIR R.I.P,Prof jeezy?mbona wote wanailaumu mawingu?clouds kuna upuuzi wanaufanya lakini wagundue kuwa muziki ni talent hizi promo za media ni kama chachandu tu kwenye chipsi dume.
Afu mi nahisi Jide kampa limbwata Gadna, mbona Gadna kapoa hvo?
Ningekuwa me Gadna, nigempa kerbu 2 kwanza za kumfumbua macho.
Ili awe na adabu na viumbe wanaompa starehe hapa duniani.
ushawahi lini kumsikia ngwair akiilalamikia clouds ikiwa interview yake ya mwisho kabla ya umauti aliifanya clouds