Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
leo ndo nimeamini kweli jf is never boring,du!si nasikia huyu dada anakula ganja aka bange? Sasa kama dr.ameoder complete bed rest bila kumwambia aache hiyo kitu itasaidia nini?
Jaydee na mumewe wanayataka wenyewe watu wajue maisha yao sasa mambo ya kifamilia inakuwaje tena??? kutwa kujiweka kwenye blogs niko hivi niko vile nitawajulisha baada ya Dec. na upuuzi mwingineo sasa mlitegemea watu wakae kimya!!??? Hizi blog zinawachanganya sana watu...kupenda kutangaza maisha yao sasa mshahara wake ni huo watu watasema lile wanalopenda. Otherwise Jaydee weka mambo yako kapuni acha kutanga tangaza itakuharibia amani ya maisha yako. Keep things to urself.Hili suala la Lady Jaydee jamani, suala la kupumzishwa ili asipate miscarriage ni suala la ndani kabisa ambalo hakuna anayeweza kulizibitisha isipokuwa mumewe, mimi nafikiri watu wame jump into a conclusion tu, hebu mpeni nafasi kama kuna lolote ni hapo baadae ila kwa sasa ameomba kupumzika kidogo na zaidi ya yote hajalazwa.
awali ipi hiyo