Jide hana mpinzani binamu , yupo alikuwepo na atakuwepo
Niliona ali post fb , anakubalika pia sema ndo hanaga promo za ajabu ajabu , jide sio muongeaj sana yupo vizur kweny matendo , angekuwa ndomo pasingetosha
Akifumwa akipiga umbea anavyotetemeka sasa , yan mbea halaf muoga
JIDE JIDE hana lolote yule...mara eti ana pesa nyumba ...ivi ninyi tukiwaita wenye pesa sura mbaya wenu atatoka?sasa amekosa skendo na yupo kimya...na bado atapotea kama wengie....NANI KANUNA????NA HIZO PESA ALIPATA KWA JILI YA UDHURUMATI TU...MI NAYAJUA MENGI......
We FYATU mimi nikiangalia hiyo video mara kumi wana hesabika ni viewers wangapi? Acha kujidangaNya na hizo takwimu ni aibu kumpambanisha Jide na mtoto Diamond!
Eh you tube siku izi zimegeuka kuwa tuzo ? Kweli wewe fyatu kabisaaaa
Matola sio bure ni lazima kuwa unapitia kiatu kwa jide: kiatu (chakula kilichobaki au makombo)Wewe hebu kajambe ukalale achana kabisa na Komando binti machozi. Hivi yule domo chapati anakunja kweli?
nasoma huu uzi huku nikisikiliza ngoma ya historia ya jide....dada yetu ni komandooo.. respect
Team Anaconda
Halafu mambo yake yanafundisha jamaa hata kujituma kwa mwanamke nyimbo zake zinakubalika kila rika na hesgima anavojiweka na jamii ina mweshimu
hakuna kitu pale kutwa kumfumania GADNER....PENZI halinunuliwi alidhani angemthibiti wapiiiiii!
mwanaume yoyote anayemwacha mkewe kwa mchepuko halafu eti mchepuko unakuwa mke ndoa iyo lazima iwe na mikosi
ndo iyo inayomkuta! UNAIBA MUME WA MWENZIO ukidhani kwa kuwa una pesa ndo mambo yote ONA adhabu MUNGU aliyokupa...hilo ni fundisho kwa WAIBA WAUME WA WENZAO eti kisa wanaweza kuwanunua..CHOZI LA MKE NI SUMU!
umesahau alivyoiba mume wa mtu na alifunga na ndoa ya kanisa akamteka kwa vijisenti mbuzi....ADHABU Anayopata sasa..hata pesa hazimsaidiii!ni huzuni na mawzo...arudishe mume ndo njia itafunguka la sivyo....
umesahau alivyoiba mume wa mtu na alifunga na ndoa ya kanisa akamteka kwa vijisenti mbuzi....ADHABU Anayopata sasa..hata pesa hazimsaidiii!ni huzuni na mawzo...arudishe mume ndo njia itafunguka la sivyo....