Lady Jaydee: Clouds FM ni wanafiki, wanataka wahongwe ili wapige nyimbo za wasanii

Cloudz ni genge la wahuni. Soon hiyo radio itaanza kuporomoka kama ilivyoanza fiesta.

Haiwezi kuporomoka hadi redio nyingine zitakaposikika mikoani kama clouds!Hapa nilipo ninalazimika kuisikiliza na miziki yao wanayoipenda ikiniboa nazima kwanza!Vijiredio vyetu(local)vinaiga mabaya yoote ya clouds mf kuongelea puani na miziki ile ile ya wasanii walewale hadi kero!Radio nyingine mko wapi?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Sie yeye tuu!20% pia!na kwani lady ana nyimbo moja pekee?mbona anazo nyingi nzuri za zamani na nimezimiss sana!Na redio ndo hiyo ina miziki yake hata kama mibovu wao kuipiga tuu na kuisifu!huenda kweli wanahongwa kwani mingine inaboa sana ila unakuta kila kipindi inapigwa mf Nataka kulewa!hakuna ubunifu mambo ya ovyo ovyo tu!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

Now hawapigi na mara ya mwisho walivyokuwa wanapiga wanakata mashair ya profesa jay

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ulikuja kwa magazeti utaludi kwa magazeti jina la bwana ...
 
Super brand! Redio ya wafu... No! Ya watu. Machoni kama watu. Ila ina mashabiki wa kutosha.
 

harakati kama kawa..
 
Pale clouds fm radio ya wa.... Kuna jamaa mmoja mtangazaji anaongea sana! Yaan 2much know anajua kila kitu dunian, jina lake limenitoka. Anyway ilikuwa favorite radio station yangu enzi hizo!
 
Hana lolote uyo.. Kapewa sana promo enzi za Gadna, sasa ivi hana mtu wa kumpigia debe pale ndio anajifanya ana uchungu... Wakat ule aliona sawa tu!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
jaydee embu atulie ajenge familia huu muziki ss tayari magharibi giza hiilo..Coz yy kapewa promo sn muda wake ss awaachie na wengine,Mmewe kila siku alikuwa anapiga nyimbo zake,huyo bazazi Ruge kambeba sn km msanii na kumgonga juu leo kadoda anatafuta wakufa nae...na redio zipo nyingi km mie clouds inaniboa niko zangu Choice..Hamieni Kwingine Jama.
 

duh Ruge mtu poa sana,alimbeba na ndizi alimpatia but still hana shukran
 
nimeamini redio mawingu iko juu.!!
 
JD anataka kujidai ndiyo anafahamu sasa hivi?Ama labda anadhani haitaji kuwalipa madj anymore.

Hilo la madj kuhongwa na msanii ili wapige mziki wake mbona ndo kawaida?
 
kweli kabisa, Tatizo mijitu ina Comment kwa hisia kwanza sio watu wa Music hata ukiwauliza hiyo nyimbo hawajawah kuiskia Popote, ila kwa kuwa anawasilibia Clouds watu wameunga tela, kama kweli yeye ni Fighter mbona hakuunga mkono wakati wenzie wakilalamika wakati huo bwana wake Gadner yupo pale nae si alikuwa ndo zake! Nyie wakurupukaj mnashusha hadhi ya Jukwaa sio kila kitu kujifanya Master!
 
duh Ruge mtu poa sana,alimbeba na ndizi alimpatia but still hana shukran
umeonaee Gadner kaosha sana Rungu kwa mdada enzi zile Gadner yupo Dubai anapanga bidhaa Al ouroubar super market
 
Mna uhakika hiyo ni account ya kweli ya JD!? Mbona wasanii wasipopigiwa nyimbo zao na radio tofauti na Clouds hawalalamiki? Kwa maana hiyo Clouds ndio baba wa burudani TZ. Mti wenye matunda ndio unaotupiwa mawe.
 
Hii radio inajifanya ina miungu watu sana. Eti peoples station wakati ina ubaguzi. Mfyuuu.

kwani ni lazima zipigweeee?anzisheni na nyie radio stations na sio kupiga majungu mtaani kuwapangia watu wafanye nini na mali zao ebo!!!we nani anakupangia nguo za kuwanunulia wanao wapendeze?
 
the title of this thread is misleading
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…