Hee just give her a break, muache afanye kitu roho inapenda ana Uhuru wa kufanya anachopenda na pia kateseka almost 15 years .. Muacheni jamani khaa!! Wabongo mpoje cjuihuu anaoufanya jide ni utoto, na kupaparika
mwanammke hatakiwi kupaparika hivo kila mtu akajua kwamba anakomoa watu fulani!!!
vitu vingine hivi havinaga haja kabisa kuvifanya kwenye media!
ilihali ni mtu mzima unaejitambua!
Kumbe nawe umewaona mkuu, watakuwa team jahaziKuna wakuu wawili chatting zao zinanipa hasira humu basi tu. Kila thread nawaona tu roho inaumaa.
Zomboko mimi sijona content ya mada ila natolea macho avatar yako naomba ubadilishe kwa kweli maana sio kwa kurusha roho hukuSikiliza wimbo mpya kutoka kwa couple wapya in the town nawe utoe maoni yako unauonaje wimbo huu. Wamefanya vizuri au bado hawaridhishi.
Atakuwa anaugulia tu, sio kwa mahaba hayo ila gardener anaonekana hakuwa romantic jide karelax Kabisa kwa spicyWimbo mtamu huu....hivi Gardner mkojozaji anajisikiaje?
Yaani we acha tu...halafu huyu mnigeria anaonekana ana mapenzi ya dhati na Comandoo!Atakuwa anaugulia tu, sio kwa mahaba hayo ila gardener anaonekana hakuwa romantic jide karelax Kabisa kwa spicy
Spicy ni blood member na Mr. FlavourSpicy ana sound kama mr flavour kwenye ile ngoma yake na tiwa savage
Wivu huo binamuhuu anaoufanya jide ni utoto, na kupaparika
mwanammke hatakiwi kupaparika hivo kila mtu akajua kwamba anakomoa watu fulani!!!
vitu vingine hivi havinaga haja kabisa kuvifanya kwenye media!
ilihali ni mtu mzima unaejitambua!
Aaaah thanks binamu[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu ndio maana huwa nakumiss ujue?
Watajeee au unawaogopaKuna wakuu wawili chatting zao zinanipa hasira humu basi tu. Kila thread nawaona tu roho inaumaa.
Pole sana mkuu,jitahidi kuzoea hiyo hali maana haiishi leo wala kesho.Kuna wakuu wawili chatting zao zinanipa hasira humu basi tu. Kila thread nawaona tu roho inaumaa.
Binamu nawe wa kunifitini hadi mimi binamu yako?Watajeee au unawaogopa
Na wala sio kesho au kesho kutwa.Pole sana mkuu,jitahidi kuzoea hiyo hali maana haiishi leo wala kesho.
#TheBold's
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakwambia sijui akiangalia anajiskiaje mtu ambae umekaa nae 15 years kama mwili mmoja Mara unashuhudia mahaba Niue na mwanaume mwenzio inauma[emoji13] [emoji13] ila kumpenda staa Kazi sanaYaani we acha tu...halafu huyu mnigeria anaonekana ana mapenzi ya dhati na Comandoo!
Mi Jide ananiacha hoi anavyojinyonga nyonga ka Tasi baharini, yaani kama kuna mtu anamuoneshea!
Gardner a.k.a Marioo, mkojozaji anajuta now
Simpenzi sana wa nyimbo zake hasa za siku hizi. Lakini huuu ni mzuri saaaana kwa kweli! Big up!Sikiliza wimbo mpya kutoka kwa couple wapya in the town nawe utoe maoni yako unauonaje wimbo huu. Wamefanya vizuri au bado hawaridhishi.
Wimbo mtamu huu....hivi Gardner mkojozaji anajisikiaje?
Kibanda??!??!!Yuko bize na kibanda ...
Jideee miaka miaSimpenzi sana wa nyimbo zake hasa za siku hizi. Lakini huuu ni mzuri saaaana kwa kweli! Big up!