Mitaa karibu na moroko mbele ya jengo la Airtel,karibu na best bite ilipoHivi nyumbani lounge ilikuwa mitaa gani hapa jijini...wajuzi mnisaidie.
Nadhani sio kila jambo unaweza kudhaniWatu washaona kuna mianya ya ukwepaji kodi baada ya kifo cha mh nadhani.
asante chief.Mitaa karibu na moroko mbele ya jengo la Airtel,karibu na best bite ilipo
Acha maswali ya kijinga wakati umesema ni nyumbnHivi nyumbani lounge ilikuwa mitaa gani hapa jijini...wajuzi mnisaidie.
Nisipoona hela mtaani utanielezaš¤Awamu hii ya 6 atapiga pesa maana fedha kuanzia April mwishoni itaanza kuonekana mtaani.
Nisipoona hela mtaani utanielezaš¤
Yani kanajiona sijui nani na kalivyo kakavu sijui sababu ya roho mbaya. mtu ameshindwana na kila mtu kwake mbaya kana matatizo sana haka kabibiPia ako na kiburi sana na majivuno, sijawah kumuona kwenye misiba ya watu , hata wa magu hakuwepo, Sijui anajikutaga Nani huyu bibi
Awamu hii ya 6 atapiga pesa maana fedha kuanzia April mwishoni itaanza kuonekana mtaani.