Lady Jaydee kufungua mgahawa mpya

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mwanamuziki mwenye swaga za aina yake kutoka kwenye kiwanda cha bongo flavor , Lady jaydee , ametangaza rasmi Ujio wa mgahawa wake mpya( BBQ n chill) ambao ataufungua masaki around May this year.

Ikumbukwe lady jaydee alishawah kumiliki mgahawa matata sana (Nyumbani lounge) ambao ulifanya vizur kwa miaka kadhaa na baadae akaamua kuufunga. Hongera sana dada mkuu, hiko kitakuwa kijiwe chetu kipya cha kudangia, masaki tena ,,warumi mie nijiandae[emoji23][emoji23]

 
Hivi nyumbani lounge ilikuwa mitaa gani hapa jijini...wajuzi mnisaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…