blogspot
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,268
- 1,143
Mh nasubiri acomfirm hapo kwenye hicho kipengela huyo mama kuziraaaa ameshazeeka hadi maini sasa aachie vijana watupagawisheKaanzisha bifu na watu wa mikoani. Akifa msimzike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh nasubiri acomfirm hapo kwenye hicho kipengela huyo mama kuziraaaa ameshazeeka hadi maini sasa aachie vijana watupagawisheKaanzisha bifu na watu wa mikoani. Akifa msimzike.
Anawapelekaje jehanamu mkuu?Jide mrudie Yesu acha kupeleka watu jehanam
Juzi jamaa alikoment humu kuwa anajisahau! Nadhani management yake matatizoSorry Jide you are kinda sort of funny... Wewe sio mkweli... You think you are untouchable na una maringo yaliyopitiliza
HashaurikiJuzi jamaa alikoment humu kuwa anajisahau! Nadhani management yake matatizo
Kwani yy haishi ndani ya mkoa o ule c mkoa?Watu wa mikoani malalamiko yenu nimeyasikia ila na mimi nina ya kwangu pia naomba myasikilize kwa umakini ili tuweze kwenda Sawa .
——————————————————————————————————————————————————————
Ukitoa Mwanza, Dodoma , Arusha , Geita na Mtwara kidogo muitikio wenu huwa unakuwa mdogo sana kwenye shows hii inakatisha tamaa kuwatembelea ——————————————————————————————————————————————————————
Pili mna kasumba ya kusema hamuamini kama msanii amefika hadi apitishwe kwenye PA awapungie mkono kama mbunge anaomba kura jimboni |
Radio zipo, TV zipo na simu mnazo za mkononi hiyo ni njia nzuri ya kutumia pamoja na vipeperushi|
Binafsi mambo ya kupita na kupunga mkono siyapendi hata kidogo na nikiitwa na promoter kitu cha kwanza namwambia hakikisha umefanya matangazo watu wameelewa otherwise sitaki mambo ya PA ——————————————————————————————————————————————————————
Hizi ni Zama za PA kweli jama ??
Na kisingizio huwa flani alitangazwa anakuja hakuja
Binadamu wote si Sawa, na tusihukumiwe kwa makosa ya watu wengine ambayo hayatuhusu
——————————————————————————————————————————————————————
Tatu , wengi wakifika mlangoni wanaomba kupunguziwa bei ya kiingilio [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Mtu anapoandaa shughuli ya kuwaburudisha mjue ameshapiga mahesabu kajua amegharamia kiasi gani na anataka gharama zake zirudi na apate faida pia , na nyie pia hapo hapo awape burudani |
Tujitahidi kuwa waelewa na kwenda na wakati ili kuepusha kero ndogo ndogo pamoja na malalamishi |
Ndio mwisho wa siku unajikuta mtu unarudi mikoa ile ile ambayo watu wanajitokeza na kuelewa |
Asanteni kwa mapenzi mema |
Ila Dodoma nitarudi very soon , sijui mmeniloga ♀️♀️ Ila pia huwa nafata Nyomi [emoji3][emoji3][emoji3]
——————————————————————————————————————————————————————
Halafu katika wasanii ambao hawabagui crowd ni mimi, maana JayDee ni wa watu wote wale Classy wa Serena na hata masela wangu vilevile.
Kwahiyo hajatengwa mtu wala nini |
Sehemu nilizowahi kupita nyie ni mashahidi kuwa nishafika hadi vijijini mwenu na kulala sehemu yoyote ile bila kujitia u star |
Mimi ni mtu humble sana , ila tu nina misimamo yangu pia .
![]()
Au amefika menopause ya mapemaHashauriki