Lady Jaydee: Mashabiki wa mikoani hamuoneshi ushirikiano ndiyo maana mikoa mingine siji kufanya show

Watu wa Mkoa mmemaindi sana naona mnamshambulia Dada
 
Mwambieni akafanye show nigeria.
Akija huku mkoani tutamkojoza
 
Jdee siku hizi kavurugwa kama si kuvurugika.sijui ni nini kinampata huyu mwanadada,anazeeka vibaya kuanzia akili hadi matendo.
 
Mbona kaongea poa tu mdadaz

Commando hayumbishwi na mtuu
 
Huyu dada siku hizi keshakwisha kabisa. Shwain!!!
 
Kwani yy haishi ndani ya mkoa o ule c mkoa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mashabiki wa mkoani ni pasua kichwa haswaaaa pamoja na wehu wake ila Jide kawaambia ukweli maana mpaka leo wanataka msanii abembee kwenye gari la PA mchana kutwa na kisa kuwaaminisha kua yupo na bado wataenda kujaa hotel aliyofikia wakiwa na picha zake wanamfananisha kwanza alafu mlangoni wanaomba wapunguziwe.
Piga show zako Serena mama wakiuza korosho,chai,kahawa lazima watakuja Dar kushangaa hapo ndipo wanalipa bila utata maana tunawashika mkono waje kusafisha macho.
 
shoo zenyewe mnaimbia kwenye CD pumzi ikikata mnasikika mnaimba wawili wawili. nani aje!?
 
Usije tena mikoani,umeshachuja kwanza.Tutasikiliza miziki ya CD Bar na kwenya mahoteli,tumeshazoea kwa sasa.
 
Jide namuheshimu sana lakini amekosea. Yeye alipaswa kitafuta namna ya kuendesha shows zake huko kwa washabiki zake. Kusema mapungufu ya mashabiki inamuharibia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…