Fundi matentiNani kamshonea hiyo nguo?
Asharudi baba watoto..?Tanasha amepambwa vizuri simple tu.. hajanangwa kama Mrs shamte
Hvi kumbe lile bifu la dada Jide na domo liliisha? Maana hawa nao walikua hawapatanagi, mmh nimefurahi kumuona jide kwa mara ya kwanza kwenye event inayomhusu Diamond, kweli dada jide siku hizi kakua View attachment 1148940
Vipi mwenye mkoa wake?Bob junior amevaa kama anaenda kuwinda swala
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kama sanda jaman , itakua Martin ndo kamshonea tu
Hvi kumbe lile bifu la dada Jide na domo liliisha? Maana hawa nao walikua hawapatanagi, mmh nimefurahi kumuona jide kwa mara ya kwanza kwenye event inayomhusu Diamond, kweli dada jide siku hizi kakua View attachment 1148940