Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema?"Ni marufuku kumbi kufungwa saa sita mnatupunguzia mapato" makonda
Nimemtaja jina hapo hujaliona?Nani kasema?
Vipi mwenye mkoa wake?
Samahani wewe ni mwanaume?Tanasha ana mimba ya miezi saba na ni mimba ya mtoto wa kiume
Nawe ukiwemo?Mnaosuport huu wote mach%ko
Mwenye mkoa kavaa kama naenda kucheza draftVipi mwenye mkoa wake?
Si anakula msuba. Unategemea nini? Usinikoti.Nasikia dada anapiga show ya kibabe kama hana akili nzuri, wadada igeni mfano wa Jide, msiwe wazembe wazembe kunako game.
Absolutely, what do you wanna say?Samahani wewe ni mwanaume?
Yani sijui nani kamdanganya mbaya zaidi hajapendeza sasaJide umri nao umeenda aache kutuvalia vya kututega
Mungu anamuona...!!Nani kamshonea hiyo nguo?
Aliulizwa nani aliyesimama nae wakati akiwa kwenye matatizo."Niwaambie wasanii wote mliopo hapa, wakati na matatizo msanii aliyesimama na mimi wakati na matatizo kwa migu miwili ni diamond" makonda
Ameyataja matatizo yenyewe?"Niwaambie wasanii wote mliopo hapa, wakati na matatizo msanii aliyesimama na mimi wakati na matatizo kwa migu miwili ni diamond" makonda