katika pitapita zangu nimejikuta nikiingia sehemu na kupigwa na mshangao....nimeingia kwenye blog ya lady jaydee na nimekuta ameweka nani zaidi kati yake na whitney houston,watoa comment wengi wamesema jaydee ni zaidi
yaliyo yangu;dada jaydee bado saaana kujiweka ktk kundi moja na whitney,ni sawa na mjusi kujilinganisha na mamba
katika pitapita zangu nimejikuta nikiingia sehemu na kupigwa na mshangao....nimeingia kwenye blog ya lady jaydee na nimekuta ameweka nani zaidi kati yake na whitney houston,watoa comment wengi wamesema jaydee ni zaidi
yaliyo yangu;dada jaydee bado saaana kujiweka ktk kundi moja na whitney,ni sawa na mjusi kujilinganisha na mamba
Ha ha ha ha ha Mwamba ngoma....., watu wengine wanakufuru kweli!!!! Hivi huyu anaweza kujifananisha na Whitney kweli? Hata Whitney katika miaka ya hivi karibuni pamoja na kutumia unga bado ni mkali mara 100 kuliko huyo Jaydee.
Wanaompigia kura utakuta ni washikaji zake na ni wabongo tu labda. Aweke kitu kama hicho kwenye a lager scale ili watu wa mataifa mbali mbali wavote kama atashinda.
Wa nje watauliza Jay who? If she is better than Whitney why we have not heard anything related to her music. Huyu ni bora anyamaze tu si ajabu hata hizo kura anajipigia mwenyewe.
Wa nje watauliza Jay who? If she is better than Whitney why we have not heard anything related to her music. Huyu ni bora anyamaze tu si ajabu hata hizo kura anajipigia mwenyewe.
katika pitapita zangu nimejikuta nikiingia sehemu na kupigwa na mshangao....nimeingia kwenye blog ya lady jaydee na nimekuta ameweka nani zaidi kati yake na whitney houston,watoa comment wengi wamesema jaydee ni zaidi
yaliyo yangu;dada jaydee bado saaana kujiweka ktk kundi moja na whitney,ni sawa na mjusi kujilinganisha na mamba
Jamani tusimhukumu Jaydee bila kujua anajilinganisha kwa kitu gani
- Kama ni muziki - hapana
- Kama ni kuwa sura nzuri - Hapana
- Kama ni Pesa - Hapana
- Kama ni kufanana na mwanaume - HAPO SAWA!!!
Wazo: JayDee ni zaidi ya Whitney kwa kuwa na sura ya kiume na mkomao!!
Wanakufuru kama wewe unavyo copy na ku paste...umezidi na unaboa