TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Mkubwa naona ume-compare silver na yeboyebo......... doesn't get any better
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I think JD is dreaming. Kujilinganisha na Whitney sawa sawa na Ngasa kujilinganisha na KAKA wa Real Madrid
Lady Jaydee na Whitney ,ni sawa ,kwa vile wote wanashukiwa kutumia madawa ya kulevya.
OMG ..huyu Wambura leo kamzidi Whitney ..kwa lipi..lol..Hata figa figale hamzidi ingawa Whitney kamzidi kwa miaka isiyopungua 15 ...arrrgghh.
Jamani tusimhukumu Jaydee bila kujua anajilinganisha kwa kitu gani
Wazo: JayDee ni zaidi ya Whitney kwa kuwa na sura ya kiume na mkomao!!
- Kama ni muziki - hapana
- Kama ni kuwa sura nzuri - Hapana
- Kama ni Pesa - Hapana
- Kama ni kufanana na mwanaume - HAPO SAWA!!!
Katika pitapita zangu nimejikuta nikiingia sehemu na kupigwa na mshangao....nimeingia kwenye blog ya lady jaydee na nimekuta ameweka nani zaidi kati yake na Whitney Houston, watoa comment wengi wamesema JayDee ni zaidi!
![]()
![]()
Yaliyo yangu;
Dada JayDee bado saaana kujiweka ktk kundi moja na whitney,ni sawa na mjusi kujilinganisha na mamba[/QUOTE
ULITAKA AJIWEKE KUNDI MOJA NA WEWE..!?