Lady JayDee: Utakubalije uwe historia kabla siku yako

Tuwekeeni hapa sasa, mnasikiliza wenyewe tu?
 
Ukute kamuimba Gadner manake dakika mbili mbele yule jide hata akisonywa tu huyo mbio studio. Anakuja kushtuka nyimbo tayari inachezwa redioni.

Huo wimbo jide hakuuandika yeye..kutokana na maelezo yake ktk diary ya jide alisema mashahiri ya wimbo huu alinunua kutoka kwa vijana wa sharobaro..so hajamuimbia mume wake ni ujumbe kwa watu wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…