Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
-
- #101
Huna lolote umeishiwa wewe wivu tu Jide yupo imara sana,
anasikiliza clouds huyo ambao hawapigi nyimbo za Jide
so hata kwenye kumbi za Disco nako wanabifu nae?
Au wewe unaishia kwenye kigodoro tu?
Wivu wa kike (msuya)
Wapi pana tusi?
hv unawajuwa Mods wa JF walivyo na njaa ya kuwafungia wadau?
Je pangekuwa na tusi unadhani mpaka muda huu ningekuwa nimesalimika?
Kama huna cha kuandike nenda kachukue kopo ukachambe...
usifikiri ni wote tunatumia hiyo......jaribu kuwa mstarabu walau kidogo.
mimi nakuwasha wewe 0713...
Tuendelee...
Kubwa Jinga anajaribu kujitetea kila Post lakini kila anayesoma post hii anaishia kumdharau mleta mada...
Kunahitajika lianzishwe jukwaa la Post za Kijinga.... Gang atakuwa mchangiaji mkubwa sana...
Kale kawimbo....
Yahaya unaishi wapi kwani jina lako halisi nani NB badala ya yahaya weka gang chomba
Ati kaenda Kitchen Party Mashallah.. Gang Wimbo wa Mwanaume kama Mabinti unakufaa sana kuchukua nafasi ya Hassan
Kaishiwa yule.
usitarajie unachokitaraji...
nyimbo zake ni kama big G tu...
tunaoiona kesho tulisimama imara na kuweka msimamo kuwa huyu kikongwe kaishiwa na anatapata tu ili apate huruma ya wakurupukaji...
yametimia ya waungwana.
hatimae Old Lady toka mkoa wa Mara zile nyimbo zake mbili ambazo alishauriwa akawauzie wakulima wa Mpunga ili zitumike kufukuzia Ndege, leo hii hazisikiki.
Joto hasira na Yahaya hata Kilabuni hazivumi tena, hapo anapofanya shoo na kwaya yake napo kwishney.
Wakati upande wa pili Mwana FA ambaye aliwahi kutuhumiwa na Bibi huyu akiwa anaunguruma ipasavyo kwenye kibao kilichoibamba Africa Mashariki kwa sasa kinachokwenda kwa jina la Cheza bila kukunja goti akiwa anafanya vema na kukimbiza.
Hakika Jide kapotea kama harufu ya Ushuzi...
umeishaivalia tayari mpaka kuifikisha hapa.Kaivalie Kanga...