Wewe gang umetumwa....pole sana waambie waliokutuma waache kuhaha juu ya mafanikio yasioshuka ya mdada jide!big up sis!
Huyu mama atulie sasa atafute watoto.
hah hah hah hah kama nyimbo za jide zinatamba kwenye Bodaboda je za Msaga sumu?
Sio tajili
Ila leo nita make
Ili watu Wanijue yaaah
Sina kitu
Ila leo nita make
Mpaka watu wanijue yaaah
Cheza cheza bila kukunja goti
Cheza cheza bila kukunja goti...