ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
madada wa mjini umalaya sio dili
ndoa imefungwa 2010 dogo kafa ana seven years yaani ndani ya mwaka mmoja tu wa ndoa kachepuka na kwenda kutiwa mimba kwa mwingine......ndio maana wanaume tunakua wagumu sana kukubali mkituambia mna mimba
miaka yote iyo mtoto katumika kama kitega uchumi kwa mumewe halali wa ndoa
ndoa imefungwa 2010 dogo kafa ana seven years yaani ndani ya mwaka mmoja tu wa ndoa kachepuka na kwenda kutiwa mimba kwa mwingine......ndio maana wanaume tunakua wagumu sana kukubali mkituambia mna mimba
miaka yote iyo mtoto katumika kama kitega uchumi kwa mumewe halali wa ndoa