Kwahiyo inamana hizi dini tunazoamini si uhalisia?
Unaamini(imani) mtoto uliemzaaa na mkeo/mchumba/demu ni wa kwako lakini kiuhalisia si wako
Kwanza Casto yeye kweka msiba wapi? na wewe umekwenda wapi?Havutii hata kidogo na make up zake kama kamwagiwa majivu
Coco...hujambo?
Well, Instagram sipo kabisa aisee na nimekataa kuwepo!?
Kuhusu kuzeeka, never!
I still look super young [and good too]!
Folks still think I’m in college when fact of the matter is it’s been 15 years since the last time I got one of my MA degrees and almost 20 since I got my professional degree.
As far as my undergrad, let’s just leave it at that hahahaaa.
I don’t look a day over 25!!!
Genetics baby.....blessed and highly favored!!!!
Sijambo kaka
Jamani unajua tena baba wewe wa kimombo hadi ukafanya uchukiwe humu.. sasa unawaambia wajue unasura na mwili usiozeeka .. awuuuu watapata tabu sana aiseeee..
Ila naona wamepoa kukuripoti ripoti maana unawakimbiza..
Mimi ningependa utoe darasa la kimombo.. yaani unaandika kwa kuanzisha uzi na unaeleza maana ya masentensi au maneno.. eeeh watakuja mbio fans wako kukusoma.. wapige kipigo cha mbwa koko
Ila una kitabu kumbuka tunakisubiria
Kuhusu elimu ya lini na lini katika misiba ilitokea mwaka huu nilipata picha hiyo eeeeeeeeeh.. kama nakuona nakujua haya weee.. tutaishia kukutana kwa jf posts as inatosha.
Hahaaaa Coco bana.....unanichekeshaga sana!
Huwa narudia kusoma mara tatu uandikavyo!
Halafu saa nane hii hujalala tu? Au na wewe umeishiwa dozi yako ya valium [sijui nimepatia tahajia?]?
Mi hapa nimeishiwa aisee na huku Mlalakuwa baa zote zimefungwa. Sina pa kwenda.
Ni mkesha hadi kukuche nitafute mtu wa kwenda kuninunulia vidonge vyangu teh teh teh!
Ndonya hiyooo na kinyama cha chini bibi...!!!hutokiiAlimrogea wapi sijui hadi kumgeuza kama ndondocha baba wa watu
Anajikosha Peter ila anajua ukweliNakataa Peter hakujua bwana. Maelezo ya yule baba yamenyooka kabisa kamsikilize tena.
Hapa umenena ngoja tuone kama ulokole utaendelea...!!!mjini ataishije sasaHivi mnadhani kuokoka ni kama kueka picha insta unalia madhabahuni eeeh. Mimi siamini wokovu wa huyo dada. Sana sana nitasema alimrudia Mungu mwanae apone ila sio kwamba alimaanisha kumtumikia Mungu
mtoto kama sio wake kwanini huyo mwanamke alikua anamsumbua jamaa hela za matumizi, shule, matibabu etc asimsumbue biological father wake.....there is something fishy huyo demu ana matatizo sanaMnaaa tu wanaume hawa anajua mtoto sio wake baas tu
Mwanaume sometimes jiongeze!mtoto kama sio wake kwanini huyo mwanamke alikua anamsumbua jamaa hela za matumizi, shule, matibabu etc asimsumbue biological father wake.....there is something fishy huyo demu ana matatizo sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii nyumba mlangoni mwake nimekuta michuchumio kibao barazani, yaani hakuna hata kobazi la kiume.
Kwaherini
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Huyu naye ni msanii maarufu bongo au Somalia?Huyu dada jamani kaharibu kwa kina Esma weee sasa kahamia kwa Muna Casto na Peter. Anapendaga kujifanya yeye ndo dada wa wanaume kupita dada zao halisi. Hii issue ya Pat kuwa mtoto wa nani aliishikia bango kwa nguvu zote jana kuwa sio mtoto wa Casto na kutupa list ya madem wa Casto woote kama vile tulimuuliza. Hakutosheka akatupa mpaka nyumba ya msiba eti mwananyamala sijui kwa baba wa mtoto. Haya leo kaumbuka kafuta mapost yote. Kwa kina Dai mpaka alianza kuchambana na Esma kisa Zari. Ndo maana yule mkaka alozaa nae alikaa pembeni mwanamke kutwa kuingilia maugomvi ya watu mwishowe akamchamba na baba mtoto. Mlio karibu na huyu dada mwambieni jamani anapitiliza sasa.
Kama humjui uliza kistaarabu maana sio kila mtu anaejulikana na wewe umjue.
ya ladyna Mzigua90Ya nani mkuu?? Muna Casto LadyNa au Peter?