theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Una uzuri wa haja siamini nilichokiona kule...
muosha rungu
Dini ingekua inaruhusu wake wawili....
Hata mchepuko sawa tuDini ingekua inaruhusu wake wawili....
Ningelitekeleza hilo mapema sana sema liko juu ya uwezo wangu sasa [emoji17]
Sent using Jamii Forums mobile app
Michepuko sitokutendea haki kuna kitu nitakua ninakudhukumu....
Na wewe utakua kama wale wanaochanganyikiwa kwa avatar eeh. (Nakutani)Michepuko sitokutendea haki kuna kitu nitakua ninakudhukumu....
Napendaga tu company yako halafu nikiingia jf na zoom avatar yako napitia baadhi ya comment zako moyo unatulia kabisa.....
Ila siku moja nitakutafuta na imani utakua rafiki mzuri nje ya jf....
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Mrs superspot avatar zako diiih
Hapana avatar mbona vitu vya kawaida sana hivi.....Na wewe utakua kama wale wanaochanganyikiwa kwa avatar eeh. (Nakutani)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru mkuu.Hapana avatar mbona vitu vya kawaida sana hivi.....
Ni vile unanivutia unavyojiachia (open mind woman) hata ikitokea tunapata moja baridi sitokua bored hata.....
Na imani utakua mcheshi pia (maana sinaga story kiivyo [emoji4] )
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Mrs superspot avatar zako diiih
Sent using Jamii Forums mobile app