Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Beat iliyotumika kwenye nyimbo ya lavalava kilio ndo beat beat iliyotumika kwenye nyimbo ya diamond sijaona na mpoto nimwage radhi ft harmoniz
Jamaa ni producer mzuri isipokuwa ndo hivyo anakariri mziki mwisho wa siku anaishia kusample beat ukicheki hapa video sema we mwenyewe kama beat zimefanana au hazifanana beat zote zimeunganishwa utagundua kabisa laizer katumia beat moja kwa wasanii
watatu
Jamaa ni producer mzuri isipokuwa ndo hivyo anakariri mziki mwisho wa siku anaishia kusample beat ukicheki hapa video sema we mwenyewe kama beat zimefanana au hazifanana beat zote zimeunganishwa utagundua kabisa laizer katumia beat moja kwa wasanii
watatu