Lake oil ni muda mwafaka kuanzisha Timu ya mpira wa miguu ili ilete ushindani kwenye Ligi kuu

Kwanza lake oil sio ya ridhiwani pili usilinganishe mlima(mchimba mafuta) na kichuguu (mmiliki wa vituo vya mafuta.
 
Lengo la mleta mada ni kutuambia kuwa Lake oil inamilikiwa na Ridhwan, wakati hana uhakika .
 
Ndomaana ligi inabidi iwe na ushindani itokee timu ichape Uto na kolo goli 7 kama bayern ibebe na Ubingwa hata mara 3 mfululizo itapata fanbase tu kwani wanaoshabikia Man city si watoto wadogo tu
Ni sahihi Mkuu, ila safari ya kufikia huko siyo ndogo.

Imagine unashindana na timu iliyoanzishwa mwaka 1935 au 1936
 
Hii kampuni imechukua eneo la tazara mchicha wamebana hadi reli, wengine wamevunja maghorofa ya tazara wamejenga yard
 
Hizi timu kubwa mbili nchini zimedumu miaka mingi sababu ya ushirikina
 
Azam ingekua na mashabiki wengi sana kama wangekua serious,
sasa wao sijui wanafanya vitu gani, kimataifa ni hola, nyumbani ni hola,..... tuwashabikie ili iweje?

yani ligi ya nyumbani wanasema waamuzi na tff ndio tatizo, ehe na huko kimataifa tatizo ni nini?...... pale hakuna timu
 
Kwanza lake oil sio ya ridhiwani pili usilinganishe mlima(mchimba mafuta) na kichuguu (mmiliki wa vituo vya mafuta.
Kwanza uzi unaenda kwa yoyote anaemiliki lake oil

Pili:Umeona mfano wa wachimba mafuta tu? JE Mudi,GSM na Azam ni wachimba mafuta?
 
Mbeya City ilianza vizuri ila kilichotokea ikaanza kupambana isishuke daraja
 
Hakuna timu inayobadili makocha kama hii
 
Hii nchi bhana...

Mtu una hustle zako, unatusua unakuwa na property kadhaa, zinaanza kubandikwa majina ya wanasiasa...
Hivi mnadhan biashara ni kitu rahisi sana kwa wanasiasa?

Unamjua Awadi Ally?
Anaitwa Ally Edha Awadh
 
Mkuu unataka aingize timu isumbue timu ya Baba ake kweli ungekuwa wewe ungefanya hivyo???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…