Lake Tanganyika - Bongo people lets talk

Lake Tanganyika - Bongo people lets talk

Your rag tag rebbel like army is being hacked to death by machete wielding child soldiers in The Congo alafu unakenua meno.
Well, they were caught off guard, chilling. Now if you compare with Kenyan Army which was on guard, naona utaweka sura chini!

Our army is disciplined, they are not looters! Feed your soldiers first before talking, pussies 😀
 
Hawa wajinga hawajui kama Tanzania ina dominate hii lake, kwanza kitendo cha lake Tanganyika linalopakana na nchi nne kuitwa kwa jina la nchi moja tu Tanganyika (Tanzania) hiyo ni notion tosha kwamba Tanzania ina vital influence kwenye hilo ziwa, hata DRC kuna province inaitwa Tanganyika province hao ndio watu ambao tunaongea nao lugha moja na tunaelewana

Sasa nikija kwa faida za kua na lake Tanganyika ndio balaa, sababu kuanzia tourism mpaka fishing tunalifaidi haswa ziwa hili
View attachment 991053View attachment 991054View attachment 991055View attachment 991056
You thick my friend, how can a Tanzanian fail to know the history of his country and a natural resource located in their boundary. You are really a typical bongolala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fukc you idiot Kenyans who come here and say Tz doesnt do anything with the lake. Why is the lake called Tanganyika? Have you ever asked yo'self this Qn? Kenyans always wish they could be Tanzanians....or our country be theirs to be precise.

Go back to your dry land and have a thought as to how you gonna make it productive.

Ask to learn more about the lake and how Tz benefit from it. No research no right to speak.

Sent using Jamii Forums mobile app
If I may ask between the lake and the nation, which one derived its name from the other?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wow! It's beautiful. Mbona hampendi kulizungumzia?

Actually we are blessed, God blessed this Nation with all potentials, the only one thing that lets down ni hawa ndugu zangu wa Kigoma na DRC, they now need to be aggressive especially now when they got the infrastructure to transport their produce.
Na wala hakikaharibika kitu, all we need is to protect the lake, ni hazina kubwa na sasa kuna ongoing joint tz congo oil exploration,

And thats only one, I can tell you in tz watu huokota dhahabu mashambani,
I believe my Nation will go far kwa huu msingi wa umoja na upendo miongoni mwa Watanzania.
 
Kiongozi hizo ni chips au flakes za wale ornamental fish wanaokua kwenye aquarium, ambao lake tanganyika ndio inasifika kwa kua nao wengi sana wa aina zaidi ya 50 na wanauzwa bei ghali sana.
Hivi hayo juu ni mayai ya samaki??
 
Back
Top Bottom