Lakini DPP tulikushauri ufute hii kesi ya Mbowe haina uhalisia wowote

Mmeona mmezidiwa mnakuja kwa njia nyingine ya kumlilia DPP. Hadanganyiki mtu. Hakuna kesi kuondolewa.

Kama mawakili wenu wazuri mna wasiwasi gani. Subirini mshinde kesi. Jiandaeni pia kupokea the worst scenario ya miaka 30 jela.
 
Mkuu rudia kusoma ulichokiandika. Kuna mhimili uliojichimbia zaidi kuliko mingine. Mizizi yake inatafunwa na mdudu, subiri anguko la pamoja na huyo dpp.
 
hatutaki kumuona mtu anaye panga mipango ya kuvuruga amani ya nchi yetu.
akae huko huko gerezani.
 
Wewe "Wakili mkongwe", halafu usifahamu kwamba kesi hiyo si hao unaowataja kujichanganya?

Labda ungekazia zaidi kwenye hilo la wahusika wa kesi kujidhalilisha mbele ya macho ya wananchi na jumuia nzima ya kimataifa.

Ukipata muda, jaribu kujikita upande huo kwa udadavuzi wako.

Haya ya mashahidi, DPP, mapolisi, n.k.,hawa hawana la kufanya, bali kutimiza waliyoagizwa na walio juu yao. Na kama unavyoifahamu hali ya nchi yetu, wote hao wanaoagizwa hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kusimamia anachokiamini ndani ya dhamira yake, maana tumboni ndiko kunakotoa maamuzi yake, badala ya kichwani.
 
Mkuu waambie hao wanafikiri watu wote hawana akili na Kibatala anawazingua tu hakuna la maana analoliongea humo mahakamani
Wewe bila shaka ni wale mnaowekewa bando Lumumba ili muongee ugoro kila kukicha.
 
eti kukata miti, eti maandamano yasiyoisha ni ugaidi. Labda kuna la ziada mbele, ngoja tusubiri. Angalia hii halafu ndipo ujue ugaidi ni nini. Tuombe yasifike huku kwetu, maana Dodoma itaonekana ndogo
Triple suicide bombers target Ugandan capital
 
Mkuu waambie hao wanafikiri watu wote hawana akili na Kibatala anawazingua tu hakuna la maana analoliongea humo mahakamani
Ha he vile vichina vyaako vingine vimiguu ka vya spoku utamuachia nani maana baragumu imrshapulizwa unahitajika bwana makalio makubwa
 
Punguwani wewe huelewi kitu
 
wewe ni mjinga unayeitakia tz mabaya, unatamani hayo yatokee dodoma? jaribu uone funza wewe.
Ndio magaidi eanavyofanya lakini wenye akili za funza kama nyie munadharilisha nchi kwa kesi za kuchongea kufarahisha matumbo yenu
 
Unastahili ku-chapwa kama kibaka
 
Yaani mambo yanayoamua kesi eti Kibatala asijue wewe kikaragosi ndio ujue.

Kesi feki kama hii huwezi ukamlaumu wakili wa utetezi kwa sababu haiamuliwi kwa kufuata misingi ya sheria ila matakwa ya utawala.
 
Hata kama wana ushahidi dhidi ya hii kesi lakini aina ya ugaidi wanao tuhumiwa nao sio ugaidi unaojulikana na dunia.
Labda tuseme ni ugaidi wa kisiasa.
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…