LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

Ruta,Hilo nalo neno...unanifanya nishtuke ukirejea home nianze kunusa nusa isjekua unanitupia vijembe bibi jinga mali yako inaliwa mie nimelala tuu.

ama kweli fumbo mfumbie.............................lakini mwerevu kulingamua.........
 
RUTA ,wewe mswahili safi ,labda alifanya kwa dhamira ,kwan nan asiye jua kuwa shombo n MAKRUKH, akaona nataka nijuilikane kama leo nimechoea maneno ya huku kwetu kisiwani

Arghhhhhhhhhhhh Wahida huoni inakera......hata kama ni kwa makusudi.......................aende kujimwagia maji hata kama ya baridi ili mradi tu asiwe nayo..........
 
loh hii shombo unamletea nani?

Mmmmmmh ngereja akirudisha umeme nitarudi.....

Ngeleja anafutwa kazi leo na waajiri wake kwa hiyo rudi tu.....................hana shari tena....................ingawaje mgao ni kama kazi......
 
Mkuu salute! Nimeipenda sana post yako,nimekugongea ka like ila natumia tochi

Ngoshwe uko wapi? Salaamu za kheri za Typhoid zisikupite............
 
Shombo ni hili.... na wanaonusishwa ni hawa

Questt usihofu mwaga radhi hapa...............this is JF where we dare to talk loud and clear...........
 
wanaojisahau na kurudi na shombo majumbani wafunguke tusikia miziki yao kwa wale wanaowaringishi hizo shombo!

wengine Kayla hutumia shombo kama nafasi ya kufikisha ujumbe kuwa wasidharauliwe kuruka na kupora vya wengineo.........................makubwa hayo..........
 

Mkuu, hii lugha ya Makwaya wa kuhenga sijaielewa asee.., would you pliiiiz elaborate?:doh:
 
Mkuu, hii lugha ya Makwaya wa kuhenga sijaielewa asee.., would you pliiiiz elaborate?:doh:

umeharibu kunilinganisha na Makwaia...................lugha nzito yenye manjari kama hii ataitoa wapi..................you have to be me to do it the way I do it............
 
umeharibu kunilinganisha na Makwaia...................lugha nzito yenye manjari kama hii ataitoa wapi..................you have to be me to do it the way I do it............

hahahahaa.., Apologies asee, mi nilijua nakusifia kumbe naharibu..!! Nashukuru nimeelewa, ila nimetumia muda na nguvu nyingi sana asee..:yo:
 

Ruta, you are deep bro. any how: Kaka tumeambiwa akutendendae mtende, mche asiekutenda. Huyu baradhuli mwache siku zake ni Arobaini.
 
hahahahaa.., Apologies asee, mi nilijua nakusifia kumbe naharibu..!! Nashukuru nimeelewa, ila nimetumia muda na nguvu nyingi sana asee..:yo:

Mbimbinho...........apologies accepted wholeheartedly..............
 
Last edited by a moderator:
Ruta, you are deep bro. any how: Kaka tumeambiwa akutendendae mtende, mche asiekutenda. Huyu baradhuli mwache siku zake ni Arobaini.

Mziba miaka yote ile umepotelea wapi ndugu yangu......................nilifikiri umetuhama LOL
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…