Lakini nimegundua......

Lakini nimegundua......

Kaizer

Platinum Member
Joined
Sep 16, 2008
Posts
25,324
Reaction score
17,846
Mabibi na Mabwana

kwa uzoefu wa miaka mingi, nimegundua kwamba katika tasnia ya kumtafuta mweza kimapenzi/kutongoza na kutongozwa, kuna makundi mawili makuu kwa upande wa hawa kina dada zetu.

  • La kwanza, niseme ni wale ambao ni kina dada 'mamboleo' (liberals).....hawa, huwa hawana longo longo ya kukuzungusha na kukupa probation na matimeline , including kukupa mitihani mbali mbali kujua lengo lako hasa ni nini (hivi lengo la mwanaume yeyote si linafahamikaga?)
    • Hawa, ni rahisi zaidi kuelewana, kukubaliana na kuachana inapobidi, yaani wakati mwingine no strings attached kabisaa...wanajua what you need in the first place...easy going.

  • Wengine sasa, ni wale wahafidhina....hawa watafanya kinyume kabisa na hayo hapo kwenye namba moja,,,,yaani kukuzungusha miezi 6 hadi mwaka , kwake sio shida kabisa, probation, na hata kama akija kukubalia basi ni kwa masharti mazito mazito na vitu kama ivyo, hawako wawazi ni nini hasa wanataka kwenye mahusiano, ili mradi ni ile kwamba "mimi nina maadili nimelelewa kwetu siwezi kukubali kirahisi rahisi" and the like

Sasa basi, kwa uzoefu wangu, nimegundua watu wa ivyo wanachukua muda sana kupata mwenza, kupata mtoto, na mara nyingi huishia kuwa single hasa kwa kipindi hiki cha utandawazi ambapo namna za kutafuta na kupata wenza zimekuwa nyingi, including the internet, so uwezekano wa mwanaume kuchapa mwendo kama 'anazungushwa' ni mkubwa sana

Sijui kama wenzangu mna ze same thought na experience, ama ni mawazo yangu 'mabaya' tu, au kama kuna second thought kwenye hili?

Kina dada, mnalionaje hili, kuna namna ya kubadilika ama ndo ivo nature?:bump:
 
Kaizer,

Wadada watashindwa kuelewa nini hasa mnataka maana hakuna jema. Mtu akiwa liberal mtamwita majina mabaya ya kila aina- mchicha, maharage ya mbeya, mara kicheche n.k.!

Akiwa conservative naye hamkawii kumwona haeleweki... mnaanza kumponda - ohh unajizungusha nini? Una uzuri gani wa kuringia nk.

Maoni yangu - Kila mtu awe huru kufuata kile roho yake inataka. Mwisho wa siku mioyo ya wahusika is what matters. Huwezi kumjua mtu moyo wake hadi siku ya siku litokee la kutokea ndipo uone rangi zake halisi - haijalishi ni liberal au conservative.
 
Kaizer,
Wadada watashindwa kuelewa nini hasa mnataka maana hakuna jema. Mtu akiwa liberal mtamwita majina mabaya ya kila aina- mchicha, maharage ya mbeya, mara kicheche n.k.!
Akiwa conservative naye hamkawii kumwona haeleweki... mnaanza kumponda - ohh unajizungusha nini? Una uzuri gani wa kuringia nk.
Maoni yangu - Kila mtu awe huru kufuata kile roho yake inataka. Mwisho wa siku mioyo ya wahusika is what matters. Huwezi kumjua mtu moyo wake hadi siku ya siku litokee la kutokea ndipo uone rangi zake halisi - haijalishi ni liberal au conservative.

Salamu WoS...kwanza nimependa avatar yako...
Anazungumzia Kaizer ni kumkubalia haraka yule unaedhani anakufaa....mwanamke anaonekana changu (na majina yafananayo) anapokuwa nakubalia wanaume wengi....
Labda niulize kwa nini wanawake wanapenda kutumia kipimo cha muda kupima penzi la mwanaume??
 
Hommie unataka miteremko sio? Sometimes milima ina raha yake!
All in all maisha yanabadilika na hivyo unakuta mbinu za zamani hazina nafasi...tatizo letu kubwa tunashindwa kujua tubadilike vp na wakati bili kubadili theme yenyewe!
 
Kaizer,

Wadada watashindwa kuelewa nini hasa mnataka maana hakuna jema. Mtu akiwa liberal mtamwita majina mabaya ya kila aina- mchicha, maharage ya mbeya, mara kicheche n.k.!

Akiwa conservative naye hamkawii kumwona haeleweki... mnaanza kumponda - ohh unajizungusha nini? Una uzuri gani wa kuringia nk.

Maoni yangu - Kila mtu awe huru kufuata kile roho yake inataka. Mwisho wa siku mioyo ya wahusika is what matters. Huwezi kumjua mtu moyo wake hadi siku ya siku litokee la kutokea ndipo uone rangi zake halisi - haijalishi ni liberal au conservative.

Nadhani muwe zaidi ya mlivyo sasa, muwe independent na muwe mna dare kufanya tunayofanya, that way mambo ya maharage ya mbeya hayatakuwepo, kwa kifupi, muwe free kututongoza inapobidi, ili nasi tugeuke malibero na mahafidhina
 
kwa wanaume vp?
Rose kwetu huku wanaume ndio wanaotafuta, hata wewe ukikifia kidume unachoweza kufanya ni kuweka mitego tu lakini mwisho wa siku ni chenyewe ndio kitakacho kuimbisha!!!!
 
Kaizer inategemea na vitu vingi..........
1. Umri wa huyo anayefuatwa...kama ni mtu machua au la
2. Malezi na mitazamo mbalimbali katika jamii inayowazunguka...............kama jamii imezoea kuwalebo wasichana wanaokubali haraka maombi ya kina kaka kama wahuni and the alike tegemea kabisa kuzungushwa
3 Lakini pia some attitudes ni nyie wenyewe mnazi'construct'......... kama mimi mwanamke ninajiamini na ninajihisi kabisa nimekufa kwa Kaizer nikija na kukwambia live lazima utanichukulia kimzaha.....na pengine ukatake advantage kabisa ukamega kisha ukatambaa.........najua wapo mtaosema body langweji ......wengine somo hili gumu wajameni.

Kwa wale ambao mnawaita maliberals..............inabidi tutofautishe kidogo kwani hata professional changudoa ni liberal kumbuka.
 
Aisee hommie!

Hebu nitumie namba ya hako kabinti kanakokusumbua!
 
Kaizer inategemea na vitu vingi..........
1. Umri wa huyo anayefuatwa...kama ni mtu machua au la
2. Malezi na mitazamo mbalimbali katika jamii inayowazunguka...............kama jamii imezoea kuwalebo wasichana wanaokubali haraka maombi ya kina kaka kama wahuni and the alike tegemea kabisa kuzungushwa
3 Lakini pia some attitudes ni nyie wenyewe mnazi'construct'......... kama mimi mwanamke ninajiamini na ninajihisi kabisa nimekufa kwa Kaizer nikija na kukwambia live lazima utanichukulia kimzaha.....na pengine ukatake advantage kabisa ukamega kisha ukatambaa.........najua wapo mtaosema body langweji ......wengine somo hili gumu wajameni.

Kwa wale ambao mnawaita maliberals..............inabidi tutofautishe kidogo kwani hata professional changudoa ni liberal kumbuka.
Well said mjukuu! Hapa inabidi tuangalie ni jinsi gani ya kubadili mtazamo bila ya wengi kuadhirika! Mfano miaka ya zamani jamii nyingi zilikua hazivai nguo kama sasa na matukio ya kubakwa hayakua mengi. Mtoto anazaliwa anakuta huo ndo mfumo wa maisha...
Hapa nataka kusema kubadili huu mtazamo ni kuwajengea watoto mfumo huo ili waone ni kawaida!
 
Aisee hommie!

Hebu nitumie namba ya hako kabinti kanakokusumbua!
Hahaha tatizo hommie kazoea "one night stand" sasa kakutana na"six months stand" kakosa mbinu! Uzee nao tabu!
 
easy get, easy gone. kwa hiyo it is up to you kujua unataka wa longlasting au shortlasting. Kama unataka wa wiki mbili tatu kwa nini umfwate mhafidhina?

My take: wahafidhina hawaishii kwenye usingo through out their life sema huchelewa kupata wenza na watoto ni lazima, liberals hawaoni shida kuwa singo ili mradi tuu alishajipatia vitoto viwili.
 
Kimey ngoja nikacheke kwanza..will be back
 
Hahaha tatizo hommie kazoea "one night stand" sasa kakutana na"six months stand" kakosa mbinu! Uzee nao tabu!

Hahahaha...aisee umevunja mbavu za big braza.

Six months baioloji imesimama tu?
 
Kaizer inategemea na vitu vingi..........
1. Umri wa huyo anayefuatwa...kama ni mtu machua au la
2. Malezi na mitazamo mbalimbali katika jamii inayowazunguka...............kama jamii imezoea kuwalebo wasichana wanaokubali haraka maombi ya kina kaka kama wahuni and the alike tegemea kabisa kuzungushwa
3 L
akini pia some attitudes ni nyie wenyewe mnazi'construct'......... kama mimi mwanamke ninajiamini na ninajihisi kabisa nimekufa kwa Kaizer nikija na kukwambia live lazima utanichukulia kimzaha.....na pengine ukatake advantage kabisa ukamega kisha ukatambaa.........najua wapo mtaosema body langweji ......wengine somo hili gumu wajameni.

Kwa wale ambao mnawaita maliberals..............inabidi tutofautishe kidogo kwani hata professional changudoa ni liberal kumbuka.

Hapo kwenye bold, unajua sijasema tu hii sredi pia imekuwa inspired na ile sredi yako ya jana "living single" na suala zima la mitizamo ya jamii

Kwa hiyo wale ambao ni malezi, ndo wanakuwa wahafidhina eeh? hawakubali kirahisi? mbona hawasomi pia alama za nyakati?

Na pia hujanifafanulia uhusiano wa umri na uharaka wa mtu kukubali mtongozo

good afternoon love
 
easy get, easy gone. kwa hiyo it is up to you kujua unataka wa longlasting au shortlasting. Kama unataka wa wiki mbili tatu kwa nini umfwate mhafidhina?

My take: wahafidhina hawaishii kwenye usingo through out their life sema huchelewa kupata wenza na watoto ni lazima, liberals hawaoni shida kuwa singo ili mradi tuu alishajipatia vitoto viwili.

Very good Marytina,

Exactly kwamba wanachelewa kupata wenza...mi ninawezaje basi kumjua kwamba huyu ni mhafidhina au liberal kwa mara ya kwanza tu? Na ukumbuke huenda nia yangu ni long term tufunge ndoa tupate watoto sasa akizungusha zungusha ndo bahati inapotea ivo!
 
Hahahaha...aisee umevunja mbavu za big braza.

Six months baioloji imesimama tu?

Imagine.....dah....sijui Kimey wa usalule huko atakuwa ni wa one nite ama six months stand? dah

Asee nitakuPM hommie....:coffee:
 
Hapo kwenye bold, unajua sijasema tu hii sredi pia imekuwa inspired na ile sredi yako ya jana "living single" na suala zima la mitizamo ya jamii

Kwa hiyo wale ambao ni malezi, ndo wanakuwa wahafidhina eeh? hawakubali kirahisi? mbona hawasomi pia alama za nyakati?

Na pia hujanifafanulia uhusiano wa umri na uharaka wa mtu kukubali mtongozo

good afternoon love

Simjibii mjukuu hommie lakini hapo kwenye bold:

Kuna tofauti kubwa sana ya kumtongoza na kukubaliwa na mwanamke wa miaka 35 ukilinganisha na wa miaka 18...
Kwangu mie wa miaka 35 hana longolongo nyiiingi kama wa miaka 18.
Yes... kuna uhusiano mkubwa sana wa mtongozo na umri.
Sijafanya research thou! Kwahiyo sitegemei maswali.
 
Mkuu umekutana na kigingi safari hii jasho limekutoka eeehhh pole vumilia tu ndo maisha
 
Back
Top Bottom