Elections 2010 Lala salama Igunga: Mgombea wa CUF azipiga kavukavu na wanavijiji

Elections 2010 Lala salama Igunga: Mgombea wa CUF azipiga kavukavu na wanavijiji

Ni kweli Mkuu, siku zote mwacheni Mungu aitwe Mungu!!!!!!!!!!! Ni nani alitegemea muujiza funga kazi kiasi hicho kingetokea Igunga bila hata kukiachi nafasi CUF na CCM hata ka-kipenyo pa kupumulia leo hii Igunga.

CHADEMA Mungu yuko upande wetu na anakashirishwa sana na UFISADI, ubakaji wake za watu, rushwa ya ubwabwa na mahindi ya bure wakati wa kampeni na mambo kama hayo. Mpaka kieleweke.

Machalii wote kote nchini tukae gado. BAVICHA, Wana-Iguna Wana-Vyuo Vikuu nchini na Makamanda wa CDM nchini kote tunawapongezeni sana kwa kazi nzuri bila kuchoka.

Ulinzi wa kura ni mpaka kieleweke hakuna kulala.


God works on mysterious way!
Lol......
 
Watu wameshindwa hata kuuliza source, man kama una video yake itupie tunahamu ya kuona campeni ya kistaarabu kutoka cuf, lakini leo ndo wametimiza ile kauli mbiu yao
 
Ndugu Mwita Maranya na Ephata Nanyaro,

hebu pekueni huyu kijana hapo chini mwenye T-sheti nyekundo ambaye yuko karibu na hao maafisa polisi ili mkaangalie kama kweli huo mfuko wa nyuma uliotuna sana kama si shahada za kupiga kura.

Pengine ndicho kilicholeta ngumi mambo kuparaganyika mara baada ya wapiga kura wa Igunga kulamba hela zake Mahona na kadi vile vile wakatolea nje.

Ni kweli kabisa ukimuangalia sana usoni huyu Mahona, utaona kama vipi wananchi walimwambia kwamba 'KULA NI KWA KAFU NA MAGAMBA ILA KURA KESHO NI KWA MAGWANDA' tu - kama unakataa kwa nini mgombea mzima alipuke na hasira mpaka kuharibu harusi yake mwenyewe???

Hebu muone alivyojinunisha mpaka akabadilika mweusi wa GIZA GIZA vile wakati anajua hata ngumi hawezi kurusha marambili hewani kabla hajapoozwa kama maji ya mtungi ...

Huu ni ushindani wa kidemokrasia na wala si kwa ajili ya masumbwi, kubaka wala kuchoma nyumba za watu Igunga.

Pisha huko bwana harusi wa kweli Ndugu Kashindye akachukue nafasi yake stahiki kiulaiiiiini vile.
 
Leo katika mkutano wa kampeni za lala salama za CUF mgombea ubunge wa chama hicho Lepold Mahona alizipiga kavukavu kavu kavu dhidi ya polisi na baadhi ya wanavijiji na ailzuiwa kuendelea na askari wa FFU waliokuwapo.


Kisa ni kwamba CUF waliingilia eneo la shule ya Msingi Nandekwa kutaka kufanya mkutano, huku eneo hilo lilikuwa limepangiwa CDM kufuatana na ratiba. Katika mabishano makali polisi iwalisisitiza CUF waliachilie eneo, ndipo Mahona akaja juu akidai alitukanwa vibaya na wafuasi wa CDM.

Alianza kurusha makonde kwa kila mtu aliyekuwa mbele yake lakini baadaye alidhibitiwa na FFU kama saba wenye virungu pamoja na viongozi wa chama hicho hadi ndani ya helikopta iliyokuwa ikiwasubiri.

attachment.php




View attachment 38183

Duh,kumbe na ngumi anaweza?
kesho atapiga hadi watoto wake akisikia matokeo (except akishinda)
 

Ndugu Mwita Maranya na Ephata Nanyaro,

hebu pekueni huyu kijana hapo chini mwenye T-sheti nyekundo ambaye yuko karibu na hao maafisa polisi ili mkaangalie kama kweli huo mfuko wa nyuma uliotuna sana kama si shahada za kupiga kura.

Pengine ndicho kilicholeta ngumi mambo kuparaganyika mara baada ya wapiga kura wa Igunga kulamba hela zake Mahona na kadi vile vile wakatolea nje.

Ni kweli kabisa ukimuangalia sana usoni huyu Mahona, utaona kama vipi wananchi walimwambia kwamba 'KULA NI KWA KAFU NA MAGAMBA ILA KURA KESHO NI KWA MAGWANDA' tu - kama unakataa kwa nini mgombea mzima alipuke na hasira mpaka kuharibu harusi yake mwenyewe???

Hebu muone alivyojinunisha mpaka akabadilika mweusi wa GIZA GIZA vile wakati anajua hata ngumi hawezi kurusha marambili hewani kabla hajapoozwa kama maji ya mtungi ...

Huu ni ushindani wa kidemokrasia na wala si kwa ajili ya masumbwi, kubaka wala kuchoma nyumba za watu Igunga.

Pisha huko bwana harusi wa kweli Ndugu Kashindye akachukue nafasi yake stahiki kiulaiiiiini vile.


attachment.php

Kama ni kituko cha mwaka 2011 basi ni cha Mwanaharusi kuzusha varangati kwa waalikwa. Wapambe wake kazi yao nini hadi kuachia hali kama hii mwanamwali kujidhalilisha hadharani.

Hata kama akishinda uchaguzi ni skandoo ya kihistoria ambayo haijawai tokea kwenye kampeni, labda labsha ndoto kwenye kusubiria matokeo. Alichoongea yule mpemba jana Ijumaa kuwakandia Chadema yamemrudia.

Usitukane wakunga hali uzazi ungalipo.
 
Pole sana Mahona, cjui kama hata kura 500 zitajika safari hii!!! Maana tulijua unaweza kusanya hata 1000 lkn kwa hili nakucikitikia sana ndugu
 
Pole sana Mahona, cjui kama hata kura 500 zitajika safari hii!!! Maana tulijua unaweza kusanya hata 1000 lkn kwa hili nakucikitikia sana ndugu

10_11_zbn8gk.jpg


Deputy Secretary General of CUF, Julius Mtatiro, protests to riot police officers at Nyandekwa village in Igunga against alleged interference of his party's campaign rally by Chadema.


Huyu Julius Mtatiro mbona popo? Kavaa combati za Chadema na kuwadanganya mashabiki wake kwa T-shirt.
 
Amemuumbua Sakaya aliedai kwamba cuf pekee ndo kinafanya campaign zakistaarabu.cuf kwishnehi kajichinjia baharini mwenyewe.
 
Amemuumbua Sakaya aliedai kwamba cuf pekee ndo kinafanya campaign zakistaarabu.cuf kwishnehi kajichinjia baharini mwenyewe.
Ngoma ya watoto huwa haikeshi ikifika saa 12 wanaambiwa wapige wimbo wa mwisho wakalale.
 
BAVICHA sasa kila mmoja wetu akae kwenye kituo cha kupigia kura na tuanza mapema kupeana taarifa basi.
 
CUF wameisaliti sana demokrasia ya TANZANIA kwa kukubali kutumiwa na CCM. Pro Safari aliliona hili na akaamua kukihama chama hicho. CUF ni kama ukimwi watanzania tuiogope. Tunatafuta ukombozi wao wanafanya mzaha
 
Wananchi wa Igunga wataipata hii skendo baada ya uchaguzi kwisha.
 
Mahona wa CUF kawakung'uta polisi jana na Kahsine wa CCM alimkata mtama OCD mwaka jana! Like husband like wife.
 
Hebu tujiulize kidogo, huyu kijana wa kihuni mwenye kupiga ngumi wapiga kura watarajiwa Prof Lipumba alikutana naye wapi ndipo akakabidhiwa tiketi ya kupeperusha bendera ya chama?????????????

La sivyo huenda mchakato wa CUF kupatikana mgombea kuna walakini mkubwa sana kama si vijiupendeleo vya hapa na pala kwa kilaza kama huyu.

attachment.php
 
Duh!mzee unatisha kwa info na ushahidi juu ya meza!
 
Duh,kumbe na ngumi anaweza?
kesho atapiga hadi watoto wake akisikia matokeo (except akishinda)

Ingawa mie sio CUF lakini nimempenda sana Mahona kwani Bunge letu sasa hivi linataka watu wa jino kwa jino, kwa kitendo hiki akipata Ubunge huyu Bwana nitasikitika lakini sio sana kama
 
Jamaa ananikumbusha Tyson alivyo nyofoa sikio la Evander, huyu hafai kabisa bungeni, ataenda kugombania viti kama mtoto wa
darasa la kwanza, cuf poleni.
 
Back
Top Bottom