Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Na mie basi naweza kusema natumia daraja moja na Jigga.
SMH.
Heck, hata mimi najaza mafuta kwenye gas station anayojazia Usher, Rick Ross, Diddy, Holyfield, and etc.,
Ila nimekuja kugundua ushamba nao ni sehemu ya ujinga flani hivi.