Huyu aliishia darasa la pili kasi ya uchumi wa kati hataiweza!
Sanga hajaingia darasani kabisa!Jah people kaishia form gani?
Waazilishi wa hotel za kisasa jijini Mwanza miaka hiyoAaah wapi, amekuwa tajiri kabla hata wazo la usanii wa uchumi wa kati halijazaliwa
Ni ya kwake ?lakairo hotel
YapNi ya kwake ?
yes ile ya kirumbaNi ya kwake ?
Wapi huko mkuuKama kuna eneo mojawapo ambalo ninasikitika TAKUKURU wamelinyamazia ni hili kwani huko kuna Rushwa na Watu Kutishwa / Kutishana mno.
angalia Watetezi TV facebookErythrocyte mbona sijaiona hio habari hapo watetezi TV