Oh, kweli ule walioimba wote ulikuwa ukipigwa sana clouds. What if yeye ndiye composer wa huo wimbo, Maana natumai wengi walikuwa ni wa THT na kama kumbukumbu zangu ni sawa ditto alikuwa mwalimu wa THT na mtunzi wa nyumbo nyingi.Original version ya huo wimbo ni ule wa wasanii wote waliimba Nchi Yangu, yeye Lameck Ditto aliurudia kuimba peke yake as second version, yaani hata yeye ditto sio wimbo wake, ali ucopy na kuimba tena..!!
Mahakama haijasema hivyo lakini.Original version ya huo wimbo ni ule wa wasanii wote waliimba Nchi Yangu, yeye Lameck Ditto aliurudia kuimba peke yake as second version, yaani hata yeye ditto sio wimbo wake, ali ucopy na kuimba tena..!!
Yaani ulake uamke na Bilioni 6 kizembe? Kwa mahakama hizi hizi za Kina Rastamani Aziz?Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi ya madai ya mwanamuziki Lameck Ditto dhidi ya Kampuni ya Multchoice Tanzania Limited maarufu DStv, uamuzi ambao haujaacha kicheko kwa mlalamikaji.
Ditto ambaye jina lake halisi ni Dotto Bwakeya alifungua kesi ya madai mahakamani hapo mwaka 2020 akiiomba iamuru DStv imlipe fidia ya Sh6 bilioni kwa kutumia wimbo wa Nchi Yangu aliodai ni wake kwenye matangazo yao ya biashara bila ridhaa yake wakati wa kampeni za Fainali ya Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2019.
View attachment 3050580
Baada ya hukumu iliyoipa nafuu DSTV, msanii Lameck Ditto amefunguka
Pia, aliiomba Mahakama iamuru alipwe Sh200 milioni kutokana na madhara ya jumla sanjari na malipo ya riba ya asilimia 25 tangu siku alipofungua shauri hilo akidai kampuni hiyo imemnyima fursa ya kunufaika na kazi yake.
Hukumu hiyo iliyosainiwa na jaji mfawidhi wa Mahakama hiyo, Salma Maghimbi ambaye hakuwepo mahakamani ilisomwa na naibu msajili wa Mahakama hiyo, Mery Moyo leo Julai 23, 2024, akisema wimbo uliotumiwa na DStv sio halisi ambao Ditto ndiye mmiliki.
Kabla ya kusoma hukumu hiyo, iliyokuwa na kurasa kumi, Moyo amesema imetolewa na Jaji Maghimbi na yeye amepewa kuisoma huku akianza kwa kueleza katika uumbaji, Mungu ametoa karama mbalimbali ambazo ndiyo chanzo cha kipato na mali.
Moyo amefafanua maana ya haki miliki akisema ni neno la kisheria linalotumika kutafsiri haki ya anayetengeneza kazi fulani akizichanganua kazi hizo ikiwamo ya muziki.
Amesema hakimiliki inatunza kazi ya asili ambayo imetengenezwa.
Katika hukumu hiyo alizitaja nafuu ambazo Ditto aliziomba katika shauri hilo na kubainisha kwamba, jitihada za kuwasuluhisha kwa sheria ya mwenendo wa madai hazikuweza kufanikiwa.
Mwananchi
Pia, soma=> Msanii Ditto afungua kesi ya Madai ya Tsh. Bilioni 6 dhidi ya Multi Choice (DSTV)
Na hiyo copy ni ya nani? Huyo mwenye copy naye aingie kati kuwashitakiMahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi ya madai ya mwanamuziki Lameck Ditto dhidi ya Kampuni ya Multchoice Tanzania Limited maarufu DStv, uamuzi ambao haujaacha kicheko kwa mlalamikaji.
Ditto ambaye jina lake halisi ni Dotto Bwakeya alifungua kesi ya madai mahakamani hapo mwaka 2020 akiiomba iamuru DStv imlipe fidia ya Sh6 bilioni kwa kutumia wimbo wa Nchi Yangu aliodai ni wake kwenye matangazo yao ya biashara bila ridhaa yake wakati wa kampeni za Fainali ya Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2019.
View attachment 3050580
Baada ya hukumu iliyoipa nafuu DSTV, msanii Lameck Ditto amefunguka
Pia, aliiomba Mahakama iamuru alipwe Sh200 milioni kutokana na madhara ya jumla sanjari na malipo ya riba ya asilimia 25 tangu siku alipofungua shauri hilo akidai kampuni hiyo imemnyima fursa ya kunufaika na kazi yake.
Hukumu hiyo iliyosainiwa na jaji mfawidhi wa Mahakama hiyo, Salma Maghimbi ambaye hakuwepo mahakamani ilisomwa na naibu msajili wa Mahakama hiyo, Mery Moyo leo Julai 23, 2024, akisema wimbo uliotumiwa na DStv sio halisi ambao Ditto ndiye mmiliki.
Kabla ya kusoma hukumu hiyo, iliyokuwa na kurasa kumi, Moyo amesema imetolewa na Jaji Maghimbi na yeye amepewa kuisoma huku akianza kwa kueleza katika uumbaji, Mungu ametoa karama mbalimbali ambazo ndiyo chanzo cha kipato na mali.
Moyo amefafanua maana ya haki miliki akisema ni neno la kisheria linalotumika kutafsiri haki ya anayetengeneza kazi fulani akizichanganua kazi hizo ikiwamo ya muziki.
Amesema hakimiliki inatunza kazi ya asili ambayo imetengenezwa.
Katika hukumu hiyo alizitaja nafuu ambazo Ditto aliziomba katika shauri hilo na kubainisha kwamba, jitihada za kuwasuluhisha kwa sheria ya mwenendo wa madai hazikuweza kufanikiwa.
Mwananchi
Pia, soma=> Msanii Ditto afungua kesi ya Madai ya Tsh. Bilioni 6 dhidi ya Multi Choice (DSTV)
Kesi za jinai na madai tofauti ,wataalamu wa kesi za madai wapo huwezi kuwasikia wakitafuta kiki mitandaoni wakigombea dhamana za kesi za kukuApewe namba za Advocate Peter Patience Kibatala 😀 Watu hawataki kuheshimu hakimiliki za watu!
Wimbo OG ni mali ya Lameck Ditto! Tuheshimu harakati za wasanii! Je unadhani kupitia wimbo huo wameingiza shilingi ngapi?!Na hiyo copy ni ya nani? Huyo mwenye copy naye aingie kati kuwashitaki
Nahisi kuna nyimbo ambazo nadhani huwa hazilipiwi mfano cover nahisi huwa hazilipiwi. maana nishasoma sehemu fulani uwa kwa mfano kwenye malls utakuwa wanapiga nyumbo ambazo ni modified version za OG. Mimi si mwanasheria lakini kama kuna anayejua masuala ya hakimiliki anaweza kutusaidiaNa hiyo copy ni ya nani? Huyo mwenye copy naye aingie kati kuwashitaki
Kwa sasa kuna covers haswa hizi nostalgia kama EDM au sweet RnB hizo hazilipwi ila tu OG version ndo lazma mpunga utoke.Nahisi kuna nyimbo ambazo nadhani huwa hazilipiwi mfano cover nahisi huwa hazilipiwi. maana nishasoma sehemu fulani uwa kwa mfano kwenye malls utakuwa wanapiga nyumbo ambazo ni modified version za OG. Mimi si mwanasheria lakini kama kuna anayejua masuala ya hakimiliki anaweza kutusaidia
sasa hapo multichoice si waliajiri wakili, tena kwa dai kubwa namna hiyo wakili alilipwa mpunga mrefu, gharama za kesi amesamehewa au anatakiwa kuzilipa? hapo chacha.Maswali ya kujiuliza ni haya.je hiyo second version aliitengeneza nani na kwa kibali cha nani?.Tukimpata huyu aliyetengeneza hiyo copy ndo tutajua je dstv walipata wapi uhalali wakuitumia ikiwa mtengenezaji wa nakala ya kwanza anasema hajawai kuimilikisha kwa mtu mwingine.Kama mtengenezaji wa nakala ya pili yupo na doto hajampeleka mahakamani basi mahakama iko sahihi.
Kesi ya msingi imechukuwa miaka minne.Amezidiwa kete?
Akate rifaaa
Yaani nikituko second version ,nimecheka sana.bora wangesema tumetumia original version ya kwako second version ingeleta maana sasa wametumia second version halafu wanamtoa mwenye original,na ameenda na ushahidi wa nyimbo kabisa unasikia sauti yake sio cover.na hati ya umiliki wa nyimbo kutoka basata mmiliki ni yeye duh noma sana.Hukumu kituko kuwahi kutokea .......wakuwapi BASATA Kutetea haki za wasanii ? Hiyo second version ina sauti ya nani ? nani aliitengeneza ? na nani aliwaruhusu kucopy huu wimbo ? kulikua na ridhaa ya Ditto ?
Hapo dawa ni kwenda basata kuchukua hatimiliki ya second version,maana hata remix ya nyimbo yako unaambiwa sio wewe huyo.Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi ya madai ya mwanamuziki Lameck Ditto dhidi ya Kampuni ya Multchoice Tanzania Limited maarufu DStv, uamuzi ambao haujaacha kicheko kwa mlalamikaji.
Ditto ambaye jina lake halisi ni Dotto Bwakeya alifungua kesi ya madai mahakamani hapo mwaka 2020 akiiomba iamuru DStv imlipe fidia ya Sh6 bilioni kwa kutumia wimbo wa Nchi Yangu aliodai ni wake kwenye matangazo yao ya biashara bila ridhaa yake wakati wa kampeni za Fainali ya Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2019.
View attachment 3050580
Baada ya hukumu iliyoipa nafuu DSTV, msanii Lameck Ditto amefunguka
Pia, aliiomba Mahakama iamuru alipwe Sh200 milioni kutokana na madhara ya jumla sanjari na malipo ya riba ya asilimia 25 tangu siku alipofungua shauri hilo akidai kampuni hiyo imemnyima fursa ya kunufaika na kazi yake.
Hukumu hiyo iliyosainiwa na jaji mfawidhi wa Mahakama hiyo, Salma Maghimbi ambaye hakuwepo mahakamani ilisomwa na naibu msajili wa Mahakama hiyo, Mery Moyo leo Julai 23, 2024, akisema wimbo uliotumiwa na DStv sio halisi ambao Ditto ndiye mmiliki.
Kabla ya kusoma hukumu hiyo, iliyokuwa na kurasa kumi, Moyo amesema imetolewa na Jaji Maghimbi na yeye amepewa kuisoma huku akianza kwa kueleza katika uumbaji, Mungu ametoa karama mbalimbali ambazo ndiyo chanzo cha kipato na mali.
Moyo amefafanua maana ya haki miliki akisema ni neno la kisheria linalotumika kutafsiri haki ya anayetengeneza kazi fulani akizichanganua kazi hizo ikiwamo ya muziki.
Amesema hakimiliki inatunza kazi ya asili ambayo imetengenezwa.
Katika hukumu hiyo alizitaja nafuu ambazo Ditto aliziomba katika shauri hilo na kubainisha kwamba, jitihada za kuwasuluhisha kwa sheria ya mwenendo wa madai hazikuweza kufanikiwa.
Mwananchi
Pia, soma=> Msanii Ditto afungua kesi ya Madai ya Tsh. Bilioni 6 dhidi ya Multi Choice (DSTV)
Hujui kitu kaa kimya sio upotoshe. Hujui hata unachokisema.Original version wa huu wimbo ni ule wa wasanii wote waliimba Nchi Yangu, yeye Lameck Ditto aliurudia kuimba peke yake as second version, yaani hata yeye sio wimbo wake, ali ucopy na kuimba tena..!!