Ulaya hawana janja janja, hard work tu kuleWanacheza kwa nguvu za bangi
Kwanini asiende simbaMlinzi wa klabu ya Coastal union na timu ya taifa ya Tanzania ameanza mazoezi rasmi katika klabu yake kuelekea mchezo wa ligi kuu NBC dhidi ya Jkt Tanzania Septemba 25 mwaka huu.
Lameck Lawi amerudi Tanzania baada ya kufeli majaribio katika klabu ya AIK ya nchini Sweden.
#matukiolive #sokadamuniuniView attachment 3075615
kwanini asi shine tena?mara ya kwanza nani alimfanya ashine ambaye sasa hayupo?Sijui kama atashine tena..alivimba kichwa..hakupaswa kuwa nje ya kikosi mpk muda huu...
Sijui kaka...byeeekwanini asi shine tena?mara ya kwanza nani alimfanya ashine ambaye sasa hayupo?