Lameck lawi alisainiwa na simba akatambulishwa ila yupo kambini na coastal union

Lameck lawi alisainiwa na simba akatambulishwa ila yupo kambini na coastal union

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Simba iltambulisha kwa bashasha na furaha kubwa kwamba wamemsajili lameck lawi coastal union wakasema simba hawakufuata utaratibu kwa hiyo deal lilikufa simba wakaaminisha washabiki wao kwamba tayari ni mchezaji wao wasio na hofu
Ajabu lameck lawi yupo kambini tanga na coastal union kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao

Huyo lameck lawi simba waliomtambulisha ni yupi
6043AE75-A44B-40AA-9C02-AEB284D43584.jpeg
 
Simba iltambulisha kwa bashasha na furaha kubwa kwamba wamemsajili lameck lawi coastal union wakasema simba hawakufuata utaratibu kwa hiyo deal lilikufa simba wakaaminisha washabiki wao kwamba tayari ni mchezaji wao wasio na hofu
Ajabu lameck lawi yupo kambini tanga na coastal union kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao

Huyo lameck lawi simba waliomtambulisha ni y

Simba iltambulisha kwa bashasha na furaha kubwa kwamba wamemsajili lameck lawi coastal union wakasema simba hawakufuata utaratibu kwa hiyo deal lilikufa simba wakaaminisha washabiki wao kwamba tayari ni mchezaji wao wasio na hofu
Ajabu lameck lawi yupo kambini tanga na coastal union kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao

Huyo lameck lawi simba waliomtambulisha ni yupiView attachment 3034228
Kwani KARIA anasemaje? Maana zote mbili ni timu zake.
 
Simba iltambulisha kwa bashasha na furaha kubwa kwamba wamemsajili lameck lawi coastal union wakasema simba hawakufuata utaratibu kwa hiyo deal lilikufa simba wakaaminisha washabiki wao kwamba tayari ni mchezaji wao wasio na hofu
Ajabu lameck lawi yupo kambini tanga na coastal union kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao

Huyo lameck lawi simba waliomtambulisha ni yupi
Simba imeshasajili mabeki wazuri hadi sasa. Lakini ikiamua kumkomalia Lameck, anaweza akajikuta analazimika kucheza Simba au kufungiwa. Inawezekana huelewi mambo, unadhani usajili ni pale mchezaji anapoingia kambini. Chama mwenyewe ambaye ana haki zote za kucheza Yanga, lakini bado anasubiri Simba wafanye approve kwenye mfumo, itakuwa Lameck ambaye ameanguka signature kabisa!
 
Simba imeshasajili mabeki wazuri hadi sasa. Lakini ikiamua kumkomalia Lameck, anaweza akajikuta analazimika kucheza Simba au kufungiwa. Inawezekana huelewi mambo, unadhani usajili ni pale mchezaji anapoingia kambini. Chama mwenyewe ambaye ana haki zote za kucheza Yanga, lakini bado anasubiri Simba wafanye approve kwenye mfumo, itakuwa Lameck ambaye ameanguka signature kabisa!
Simba watoe approval ya aina gani kwa mchezaji aliyemaliza mkataba na yupo huru
 
Simba imeshasajili mabeki wazuri hadi sasa. Lakini ikiamua kumkomalia Lameck, anaweza akajikuta analazimika kucheza Simba au kufungiwa. Inawezekana huelewi mambo, unadhani usajili ni pale mchezaji anapoingia kambini. Chama mwenyewe ambaye ana haki zote za kucheza Yanga, lakini bado anasubiri Simba wafanye approve kwenye mfumo, itakuwa Lameck ambaye ameanguka signature kabisa!
😁😁😁 Thimba nguvu moyaaa
 
Wewe ukimaliza mkataba wa kazi Huwa unajiondokea tu, kwa taasisi yoyote makini lazima muandikishane na kupeana mkono wa kwa heri. Pesa zako utazidai vipi bila barua ya uthibitisho.
Sio kweli mbappe mkataba umeisha hata psg hajawaaga na ameshasign madrid

Mchezaji mkataba wake ukiwa unaisha miezi sita ya mwisho anaruhusa ya kuongea na timu yeyote bila ruhusa ya timu aliyopo
 
Sio kweli mbappe mkataba umeisha hata psg hajawaaga na ameshasign madrid

Mchezaji mkataba wake ukiwa unaisha miezi sita ya mwisho anaruhusa ya kuongea na timu yeyote bila ruhusa ya timu aliyopo
Lakini mbape una uhakika Hana barua ya kumaliza mkataba Kutoka PSG?
 
Simba iltambulisha kwa bashasha na furaha kubwa kwamba wamemsajili lameck lawi coastal union wakasema simba hawakufuata utaratibu kwa hiyo deal lilikufa simba wakaaminisha washabiki wao kwamba tayari ni mchezaji wao wasio na hofu
Ajabu lameck lawi yupo kambini tanga na coastal union kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao

Huyo lameck lawi simba waliomtambulisha ni yupiView attachment 3034228
Kuna mashabiki wa ile timu jana walinibishia eti nilipojaribu kuuliza kwenye ule uzi wa usajili.
 
Hakuna haja ya exist letter. Baada ya siku 7 mkataba wake kuisha kwenye system ya FIFA inasoma automatically ni mchezaji huru.
 
Mashabiki wengi wa simba wana-uelewa mdogo sana linapokuja swala la timu yao
Ndo maana dewji anawachezesha makirikiri anavyotaka
Hivi Simba na yanga nani ana kesi nyingi fifa za kuhusu wachezaji, Morison mlidanganywa CAS wakaja kuwaumbua.
Simba huwa hawabahatishi.
 
Back
Top Bottom