Lameck lawi alisainiwa na simba akatambulishwa ila yupo kambini na coastal union

Lameck lawi alisainiwa na simba akatambulishwa ila yupo kambini na coastal union

Simba imeshasajili mabeki wazuri hadi sasa. Lakini ikiamua kumkomalia Lameck, anaweza akajikuta analazimika kucheza Simba au kufungiwa. Inawezekana huelewi mambo, unadhani usajili ni pale mchezaji anapoingia kambini. Chama mwenyewe ambaye ana haki zote za kucheza Yanga, lakini bado anasubiri Simba wafanye approve kwenye mfumo, itakuwa Lameck ambaye ameanguka signature kabisa!
Sasa kama Chama mpka Simba wafanye approvement alf Lawi costal union hawana ubavu?
 
Back
Top Bottom