mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,190
- 830
Pesa zako utazikuta NSSF na si kwa mwajiri wakoWewe ukimaliza mkataba wa kazi Huwa unajiondokea tu, kwa taasisi yoyote makini lazima muandikishane na kupeana mkono wa kwa heri. Pesa zako utazidai vipi bila barua ya uthibitisho.