Lameck Lawi Anukia Ligi Kuu Ubelgiji K.A.A Gent

Labda Genk B lakini ya ligi kuu ubelgiji hawezi kucheza. Jamaa ni overrated kolo kaingia kichwa kichwa
 
Dili likifanikiwa ni faida kwa Taifa tukiwa na Mapro wengi nje. Natamani hata Bacca na Job nao wapate timu Ulaya.

Bahati mbaya mi sio shabiki Oya Oya. Kama unatafuta kubishana tafuta mwingine wa kumquote.
Mbumbumbu wanapenda ligi humu jf ili watukane kupunguza maumivu ya kipigo cha 7-2, Chama kuja uto, Dube kuja uto na mpango wa Yanga kuhakikisha Chief Mangungo bado wanae hadi 2030 hadi tuamue kuwapa kombe japo moja !
 
bro ni uongo mtupu hakuna cha genk,lawi ni mchezaji halali wa simba maana kasaini simba na pesa alipokea na zawadi kemkem ikiwemo na iphone 15.subiri utaona lawi atacheza simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…