Lampard, Scholes na Gerrard ulimkubali yupi zaidi?

Lampard, Scholes na Gerrard ulimkubali yupi zaidi?

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Wakati tetesi zikivuma kuwa Steven Gerrard anajiandaa kutangaza kustafu kabisa soka katika timu yake ya L.A Galaxy.

Leo tuangalie viungo watatu wa Kiingereza waliotamba kwa miaka 15 iliyopita. Japo hawafikii uwezo wa viungo kama Xavi na Pirlo lakini tuone nani alikuwa mahiri zaidi.

Je kati ya Frank Lampard nyota wa zamani wa Chelsea na Man City, Paul Scholes nyota wa zamani Man Utd na Steven Gerrard nyota wa zamani wa Liverpool ni nani alikuwa bora hasa katika suala la uwezo wa kumiliki mpira, Kupiga pasi na hata kuibeba timu inapohitajika? Ni kiungo yupi kati yao ulimkubali zaidi?

Tuweke unazi wa vilabu vyetu pembeni, karibuni katika mjadala...
 
quote-the-only-great-english-midfielder-in-my-career-was-paul-scholes-he-had-elegance-in-him-andrea-pirlo-68-96-69.jpg


troll_football_image_87778e7134cf8d5a3368b8b60356430e.jpg


quote-it-s-only-natural-to-want-to-select-your-best-players-and-there-is-no-doubt-for-me-that-zinedine-zidane-139-36-22.jpg


quote-sad-to-hear-paul-scholes-is-retiring-great-player-world-class-player-the-english-zizou-samir-nasri-121-18-38.jpg


quote-at-arsenal-me-and-patrick-vieira-didn-t-want-to-face-scholes-we-would-avoid-him-emmanuel-petit-112-17-77.jpg


5d2a26d0e8e3a2b911cd0a34fd8e9049.jpg

1424447_832837140089837_947404733_n.jpg
 
Back
Top Bottom