Lampard, Scholes na Gerrard ulimkubali yupi zaidi?

Lampard, Scholes na Gerrard ulimkubali yupi zaidi?

leo nimekujua kumbe wewe ni ABU, chochote kinachohusiana na Man U kwako ni kibaya.

sababu unaipenda sana Barcelona ndio maana unazi umekuzidi humpendi babu shule, sababu Akiwemo tu Kwenye kikosi Barca wanautafuta. Fainali zote mbili na nusu fainali moja.

midfield zote kubwa Ulaya kuanzia wale ambao tumebishana juzi kina Xavi na Zidane, uje pirlo na wengineo wanakiri ni midfield mgumu zaidi kucheza against,

scholes anaonekana ana magoli na assist ndogo sababu si kazi yake, Man u wakicheza assist zinatokea kwa wings na magoli kwa strikers, man u walikuwa wakicheza na strikers wawili kipindi chake.

lampard na Gerrard kwa vipindi tofauti wamecheza kama namba 10 nyuma ya striker hivyo lazima wawe na stats nzuri za magoli na Assist.

njoo kwenye interception, tackling, long pass, short pass, through pass, chance creation etc uone wanalinganishika kivipi?
Man u ameingia fainal mbili uefa na barca na zote kapoteza ..na uyo Scholes akiwemo ...

Barca walipigwa nockout na Chelsea Lampard akiwemo ...

Barca alikuwa akikutana na Chelsea anapata tabu mara mbili zaid ya atavyokutana Man united au Arsenal ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FIFA World XI Nominations
Gerrard 8
Lampard 8
Scholes 2

FIFA World XI Appearances
Gerrard 3
Lampard 1
Scholes 0

UEFA Team of the Year Appearances
Gerrard 3
Lampard 0
Scholes 0

UEFA Player of the year
Gerrard 1
Lampard 0
Scholes 0

Highest FIFA World Player of the Year Finish
Lampard 2nd – one time
Gerrard never in top 3, but very close
Scholes nowhere near top 3

Highest Ballon D’or Finish
Lampard 2nd – one time
Gerrard 3rd – one time
Scholes nowhere near top 3

Premier League Team of the Year Appearances
Gerrard 8
Lampard 5
Scholes 2

Premier League Player of the Month Awards
Gerrard 6
Lampard 4
Scholes 4

Premier League Young Player of the Year
Gerrard 1
Lampard 0
Scholes 0

Journalists’ and Writers’ Premier League Player of the Year
Gerrard 1
Lampard 1
Scholes 0

Players’ Premier League Player of the Year
Gerrard 1
Lampard 0
Scholes 0

Fans’ Premier League Player of the Year
Gerrard 2
Lampard 1
Scholes 0

England National Team Player of the Year
Gerrard 2
Lampard 2
Scholes 0

UEFA Euro Team of the Tournament
Gerrard 1
Lampard 1
Scholes 0

FA Cup Final Man of the Match
Gerrard 1
Lampard 1
Scholes 0

UEFA Champions League Final Man of the Match
Gerrard 1
Lampard 1
Scholes 0

Mimi naamini statistics kuliko maneno ya wachezaji quotes za wachezaji azinisumbui kujua nani bora kioo hakidanganyi
Iz statistics umezifanya wewe au watu kama wewe ndo wamezifanya mkuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man u ameingia fainal mbili uefa na barca na zote kapoteza ..na uyo Scholes akiwemo ...

Barca walipigwa nockout na Chelsea Lampard akiwemo ...

Barca alikuwa akikutana na Chelsea anapata tabu mara mbili zaid ya atavyokutana Man united au Arsenal ..

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Nusu fainali 2008 scholes alikuwepo na yeye ndio aliewatoa barca na shuti lake la mbali.
2. Fainali 2009 hakuanza babu shule
3. Fainali 2011 hakuanza babu shule

Angalia vizuri source zako.

2011 scholes anaingia kama sub alibadili mpira kabisa na wakawa barcelona wanautafuta. Si maneno yangu bali xavi mwenyewe alikiri ni midfiled mgumu kucheza against.

2008


2011

Hii ndio perfomance ya 2011 hizo dakika chache za mwisho utaona, hizo pasi ndefu na jinsi alivyo control midfield.
 
1. Nusu fainali 2008 scholes alikuwepo na yeye ndio aliewatoa barca na shuti lake la mbali.
2. Fainali 2009 hakuanza babu shule
3. Fainali 2011 hakuanza babu shule

Angalia vizuri source zako.

2011 scholes anaingia kama sub alibadili mpira kabisa na wakawa barcelona wanautafuta. Si maneno yangu bali xavi mwenyewe alikiri ni midfiled mgumu kucheza against.

2008


2011

Hii ndio perfomance ya 2011 hizo dakika chache za mwisho utaona, hizo pasi ndefu na jinsi alivyo control midfield.
Mkuu nadhani ni Giggs ndo alifunga lile goli kwenye ile gemu ya sem final (ila sikumbuki vizuri
Schose alikuwa anafunga yale magoli muhimu ambayo yalokuwa yanabadili muelekeo mzima wa gemu ..iyo ndo sifa kubwa ya schose ..ila sjui ni kwanin hakumtumia sana na hata ukichek hakuwahi kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa clab had anaondoka Man u..

Ndio maan ni ngumu sana kumlinganisha na Frank Lampard ambaye dunia inamtambua Kwa mashuti na pasi zilizonyooka.. Ivyo kwangu mimi Paul Schose namfananisha na Ngolo Kante kwa sasa ..ila Lampard naona bado ana mengi ya kujifunza..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nadhani ni Giggs ndo alifunga lile goli kwenye ile gemu ya sem final (ila sikumbuki vizuri
Schose alikuwa anafunga yale magoli muhimu ambayo yalokuwa yanabadili muelekeo mzima wa gemu ..iyo ndo sifa kubwa ya schose ..ila sjui ni kwanin hakumtumia sana na hata ukichek hakuwahi kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa clab had anaondoka Man u..

Ndio maan ni ngumu sana kumlinganisha na Frank Lampard ambaye dunia inamtambua Kwa mashuti na pasi zilizonyooka.. Ivyo kwangu mimi Paul Schose namfananisha na Ngolo Kante kwa sasa ..ila Lampard naona bado ana mengi ya kujifunza..

Sent using Jamii Forums mobile app
We humjui paul scholes, kuanzia kwenye jina mpaka kusema goli la semi final vs barca alifunga Giggs.
Paul scholes his touch, vision ,timing etc was classy.
Ukipata nafasi jaribu kupitia video zake,

Paul scholes ni mmojawapo wa four man u players ( Cantona, Giggs na Ronaldo), ambao SAF anaamini ndio wachezaji pekee aliowafundisha wanadeserve title ya WORLD CLASS player.

Ila sasa hata kama humjui paul scholes hivi unawezaje kucompare na Ng'olo kante?
Jaman haya si ni matusi makubwa.

Paul scholes na zile long passes aise!

Sent using simu mbovu
 
Kwa nafasi zao kila mmoja hakuna wa kubeza hapo.. Steven, Paul na Frank ni kati ya middle ya rank ya dunia waliopata kutokea england.
Huwezi kumrank mkabaji anaechukua mipira kutoka nyuma na mtu anaeanzia kati kwenda mbele..
Ieleweke tu nawaheshimu sana hawa jamaa kwa nafasi zao, hakuna mbovu hapo wala wa kumzidi mwenzie.
 
Man u ameingia fainal mbili uefa na barca na zote kapoteza ..na uyo Scholes akiwemo ...

Barca walipigwa nockout na Chelsea Lampard akiwemo ...

Barca alikuwa akikutana na Chelsea anapata tabu mara mbili zaid ya atavyokutana Man united au Arsenal ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipimo chako ni Barca dhidi ya United sio?.. Mbona husemi amechukua UEFA 2 anawazidi Chelsea na Arsenal na EPL nyingi kuliko Chelsea, EPL ambayo Steven hajui inafananaje?
Au ndio kusema nao walikuwa hawashiriki?..
 
Mkuu nadhani ni Giggs ndo alifunga lile goli kwenye ile gemu ya sem final (ila sikumbuki vizuri
Schose alikuwa anafunga yale magoli muhimu ambayo yalokuwa yanabadili muelekeo mzima wa gemu ..iyo ndo sifa kubwa ya schose ..ila sjui ni kwanin hakumtumia sana na hata ukichek hakuwahi kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa clab had anaondoka Man u..

Ndio maan ni ngumu sana kumlinganisha na Frank Lampard ambaye dunia inamtambua Kwa mashuti na pasi zilizonyooka.. Ivyo kwangu mimi Paul Schose namfananisha na Ngolo Kante kwa sasa ..ila Lampard naona bado ana mengi ya kujifunza..

Sent using Jamii Forums mobile app
Lile goli alifunga Paul..
Ukisema dunia inamtambua Lampard kuliko Paul utakuwa unachekesha.
Sitaki kusema nani bora ,hawa jamaa nawaheshimu wote kwa ujumla wao.. Paul ana uefa 2, frank 1.. Epl kama zote
Yaani ile class 1998 alikuwemo, sijui FRANK alikuwa na uwezo gani muda huo na alikuwa timu gani.
 
We humjui paul scholes, kuanzia kwenye jina mpaka kusema goli la semi final vs barca alifunga Giggs.
Paul scholes his touch, vision ,timing etc was classy.
Ukipata nafasi jaribu kupitia video zake,

Paul scholes ni mmojawapo wa four man u players ( Cantona, Giggs na Ronaldo), ambao SAF anaamini ndio wachezaji pekee aliowafundisha wanadeserve title ya WORLD CLASS player.

Ila sasa hata kama humjui paul scholes hivi unawezaje kucompare na Ng'olo kante?
Jaman haya si ni matusi makubwa.

Paul scholes na zile long passes aise!

Sent using simu mbovu
Scholes kumrank na Kante sio matusi kaka ,bali ni ujinga kabisa.
Ukimuuliza kivipi? Au kwa lipi anakimbia.
 
Lile goli alifunga Paul..
Ukisema dunia inamtambua Lampard kuliko Paul utakuwa unachekesha.
Sitaki kusema nani bora ,hawa jamaa nawaheshimu wote kwa ujumla wao.. Paul ana uefa 2, frank 1.. Epl kama zote
Yaani ile class 1998 alikuwemo, sijui FRANK alikuwa na uwezo gani muda huo na alikuwa timu gani.
Apa tunaangalia uwezo wa mchezaji binafsi ..Lampard kaja chelsea wakati huo Man united ilikuwa tayari inawika ..

Wote ni viungo wazuri lakini kiukweli Lampard anahitaji heshima yake ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nadhani ni Giggs ndo alifunga lile goli kwenye ile gemu ya sem final (ila sikumbuki vizuri
Schose alikuwa anafunga yale magoli muhimu ambayo yalokuwa yanabadili muelekeo mzima wa gemu ..iyo ndo sifa kubwa ya schose ..ila sjui ni kwanin hakumtumia sana na hata ukichek hakuwahi kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa clab had anaondoka Man u..

Ndio maan ni ngumu sana kumlinganisha na Frank Lampard ambaye dunia inamtambua Kwa mashuti na pasi zilizonyooka.. Ivyo kwangu mimi Paul Schose namfananisha na Ngolo Kante kwa sasa ..ila Lampard naona bado ana mengi ya kujifunza..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimeeka na video ni scholes.
 
We humjui paul scholes, kuanzia kwenye jina mpaka kusema goli la semi final vs barca alifunga Giggs.
Paul scholes his touch, vision ,timing etc was classy.
Ukipata nafasi jaribu kupitia video zake,

Paul scholes ni mmojawapo wa four man u players ( Cantona, Giggs na Ronaldo), ambao SAF anaamini ndio wachezaji pekee aliowafundisha wanadeserve title ya WORLD CLASS player.

Ila sasa hata kama humjui paul scholes hivi unawezaje kucompare na Ng'olo kante?
Jaman haya si ni matusi makubwa.

Paul scholes na zile long passes aise!

Sent using simu mbovu
Wacha Unazi wewe ...tofauti ya Ngolo Kante na Paul scholes ni ipi? Eka pembeni ushabiki leta fact apa ...

Uyo scholes hakuwahi kuwa hata mchezaji bora wa clab ..hachilia mbali mchezaji bora Epl..

Uyo scholes kwanini Fargie hakumtumia kwenye fainali mbili alizokutana na Barca? Scholes ni kiungo bora ulaya aliyewahi kutokea lakini hakufikia level na Lampard ..na huo ndo ukweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Apa tunaangalia uwezo wa mchezaji binafsi ..Lampard kaja chelsea wakati huo Man united ilikuwa tayari inawika ..

Wote ni viungo wazuri lakini kiukweli Lampard anahitaji heshima yake ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia ikumbukwe kuna kipindi Lampard na Gerrard walikuwa wakicheza kama Namba 10, nyuma ya striker hivyo kuonekana wanafunga sana Magoli na kutoa pasi.
 
Kipimo chako ni Barca dhidi ya United sio?.. Mbona husemi amechukua UEFA 2 anawazidi Chelsea na Arsenal na EPL nyingi kuliko Chelsea, EPL ambayo Steven hajui inafananaje?
Au ndio kusema nao walikuwa hawashiriki?..
Tusema Scholes alikuwa kiungo mkabaji ...sasa ana tofauti gani na Kante Ngolo kwa sasa? Pengine Kante kamzidi zaidi..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nafasi zao kila mmoja hakuna wa kubeza hapo.. Steven, Paul na Frank ni kati ya middle ya rank ya dunia waliopata kutokea england.
Huwezi kumrank mkabaji anaechukua mipira kutoka nyuma na mtu anaeanzia kati kwenda mbele..
Ieleweke tu nawaheshimu sana hawa jamaa kwa nafasi zao, hakuna mbovu hapo wala wa kumzidi mwenzie.
Fact!
 
Apa tunaangalia uwezo wa mchezaji binafsi ..Lampard kaja chelsea wakati huo Man united ilikuwa tayari inawika ..

Wote ni viungo wazuri lakini kiukweli Lampard anahitaji heshima yake ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa inawika bila wachezaji?.. Frank ana heshima yake kwa kuipa nn chelsea ambacho Paul hakuipa utd?
 
Back
Top Bottom